Guinea: Baltasar Engonga ahukumia minane jela

Guinea: Baltasar Engonga ahukumia minane jela

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Mahakama moja nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu kifungo cha miaka 8 gerezani aliyekuwa afisa mwandamizi wa serikali ya nchi hiyo Baltasar Ebang Engonga kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma.
images (55).jpeg
Bwana Engonga aliutikisa mtandao wa intaneti mwaka jana kwa sifa chafu baada ya kuvuja kwa mamia ya video za ngono zilizopatikana kwenye vifaa vyake vya kielektroniki vilivyokamatwa wakati wa uchunguzi wa makosa ya matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya waliokuwamo kwenye video hizo walikuwa wake wa maafisa wengine wa serikali. Mbali ya kifungo cha miaka 8, Baltasar ametakiwa pia kulipa faini ya dola 220,000.
 
Mahakama moja nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu kifungo cha miaka 8 gerezani aliyekuwa afisa mwandamizi wa serikali ya nchi hiyo Baltasar Ebang Engonga kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma.
View attachment 3455353
Bwana Engonga aliutikisa mtandao wa intaneti mwaka jana kwa sifa chafu baada ya kuvuja kwa mamia ya video za ngono zilizopatikana kwenye vifaa vyake vya kielektroniki vilivyokamatwa wakati wa uchunguzi wa makosa ya matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya waliokuwamo kwenye video hizo walikuwa wake wa maafisa wengine wa serikali. Mbali ya kifungo cha miaka 8, Baltasar ametakiwa pia kulipa faini ya dola 220,000.
Inaonekana ulikuwa mbwinde kweli kweli. Hii habari ina zaidi ya miezi 3 we ndio unaileta leo?

😁😁😁😄
 
Lizuri hili likaka, afu lina hela, cheo, Elimu, ndo maana limewala Ke wengi.
Afu hao wadukuzi hawajafukua vizuri mafaili, wangekuta anazowala vidampaa.
Linaonekana libasha kabisa hili li baltasar.
Lol 😂😂😂😂😂
 
Inaonekana ulikuwa mbwinde kweli kweli. Hii habari ina zaidi ya miezi 3 we ndio unaileta leo?

😁😁😁😄
Ni kweli kabsa Mkuu! Upo sahihi
 
Lizuri hili likaka, afu lina hela, cheo, Elimu, ndo maana limewala Ke wengi.
Afu hao wadukuzi hawajafukua vizuri mafaili, wangekuta anazowala vidampaa.
Linaonekana libasha kabisa hili li baltasar.
Lol 😂😂😂😂😂
Rudisha ile dp yko
 
Lizuri hili likaka, afu lina hela, cheo, Elimu, ndo maana limewala Ke wengi.
Afu hao wadukuzi hawajafukua vizuri mafaili, wangekuta anazowala vidampaa.
Linaonekana libasha kabisa hili li baltasar.
Lol 😂😂😂😂😂
cocastic naona ushalowana kabisa
 
Back
Top Bottom