Guest na mvua hizi

Guest na mvua hizi

Kuna msemo unasema
"ukiacha kazi usione kazi kutafuta kazi"
 
ukizingatia hatujaoa tunapata majaribu tunabaki kutafuna mabaki ya wateja
 
kwani kinachokuuma ni nn wakati ww ni mfuasi wa wake za watu ambao michepuko yao inashindwa kutokea
 
kipindi iki cha mvua mimi ni muhudumu wa guest yani wateja wameongezeka mara dufu, kero zimezidi kutuchafulia mashuka.. wake za watu kugegedwa yani ni kero mpaka nataka niache kazi.
Acha kujishaua umefurahia wateja wengi
 
Watu walikuwa wanasubiri kibaridi cha dar kianze,na hapo mwendo mdundo mpaka july
 
kipindi iki cha mvua mimi ni muhudumu wa guest yani wateja wameongezeka mara dufu, kero zimezidi kutuchafulia mashuka.. wake za watu kugegedwa yani ni kero mpaka nataka niache kazi.
HUacha Vinyesi?
 
aliyetayari nimuachie hii kazi ya uhudumu wa guest watu wanafanya zambi sana siku ya mwisho tutaungua moto sana
 
Kipi haswa kinachokusumbua hapo maana umesema vitu viwili...1.Guest kuchafuliwa, 2.Wake za watu kugegedwa...Kwa maana ingine wake za watu wasipo kuja hapo wewe utaendelea na kazi? Na wewe huwa unatambuaje kuwa huyu ni mke wa mtu na huyu siyo?
 
kipindi iki cha mvua mimi ni muhudumu wa guest yani wateja wameongezeka mara dufu, kero zimezidi kutuchafulia mashuka.. wake za watu kugegedwa yani ni kero mpaka nataka niache kazi.
Dai motisha kama mapato yameongezeka. Hata hivyo na wewe si ukiuza chumba mara tatu kwa siku unakabidhi tuu mara moja?
 
Ama kweli shibe mwana malevya, sasa wateja wasipokuja wewe utakula nini wakati umesema ndiyo kazi yako hiyo?
 
kipindi iki cha mvua mimi ni muhudumu wa guest yani wateja wameongezeka mara dufu, kero zimezidi kutuchafulia mashuka.. wake za watu kugegedwa yani ni kero mpaka nataka niache kazi.
Na mkeo atamlisha nani?siku hizi hakuna kucheza pool,shauri yako
 
Heshimu kazi yako Tunza siri za wateja wako maana ndio wanaokuweka mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom