naanza utafiti weekend hii
Hata mimi pia,.
naanza utafiti weekend hii
Wanasema eti guest houses mara nyingi hujaa wake za watu wakiambatana na vijana wadogo wadogo, ati kulikoni waume za watu wakiambatana na mabinti wadogo wadogo.
Wana JF hebu tuambizane ipi statement ni kweli kutokana na mtazamo wako. Cheers!
loading........................
naanza utafiti weekend hii
Tuanze na wewe,kama ni me,ukienda guest mara ngapi umeenda na wake za watu na mara ngapi umeenda na vibinti vidogo!
Kama wewe ni ke,mara ngapi umepelekwa na waume za watu na mara ngapi umepelekwa na Serengeti boys!
Kama hujawahi kwenda guest basi hizo stori ni za uongo hakuna anayeenda na vibinti,wake za watu,wala waume za watu,wala Serengeti boys
naanza utafiti weekend hii
Heheheheh
mweee,unafanya utafiti na nani?....loading error....
na wewe
Tuunganishe nguvu kama vip tukutane Royal Kibadamo au Mick's Hotel Ubungo tuchukue Room tupige utafiti.
Hata mimi pia,.
mmmmmmh ....loading error.....
naanza utafiti weekend hii
Mnibipu tukafanye huo utafiti sote...
uje na hela a bia usiache mkuu kazi na dawa