Greetings!!!!

Zimefanya sana kazi yani kama si sala zako sidhani kama ningekuwa hapa JF saa hivi.

Leo naenda kuwa busy na Roho wa Mungu, hutaugua tena kwa miaka nane ijayo. Subiri........
 
pole js karibu sana jamvini uwe unatutaarifu mapema na ss tukuombee pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom