Mambo poa Mamndenyi huku nako jua na joto, kukata miti kumeharibu sana mazingira na hii gesi sijui itatusaidia tuache kukata miti kwa ajili ya kuni, Uuuwiii
measkron hatuna tena utamaduni wa kupanda miti,
kwa bei ya gesi itakuwa ngumu sie wa kima cha chini kuinunua
vinginevyo bei iwe chini
tutakomaa na mkaa na kuni kwa kwenda mbele.
Mambo poa Mamndenyi huku nako jua na joto, kukata miti kumeharibu sana mazingira na hii gesi sijui itatusaidia tuache kukata miti kwa ajili ya kuni, Uuuwiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.