Green Guard ina tofauti na Interahamwe?

Green Guard ina tofauti na Interahamwe?

By having their own private army, CCM leaders have become, by definition, WARLORDS . Beware!

Ila tusiogope. Mwisho wao wiki ijayo. Baada ya kukomboa nchi tutasambaratishia mbali hiki kikundi batilli.
 
Yawezakana hukupata bahati ya kusoma historia ya nchii hii, sasa historia inabaki kuwa historia tu hata kama haitakuvutia.

Wakati TANU ikianzishwa kulikuwa na vijana waliokuwa na majukumu ya kulinda chama na viongozi wake, kulinda mikutano ya TANU na kazi zingine ambazo vijana wangeweza kuzifanya kulingana na ujana wao kwa maslahi ya Chama. vijana hawa waliitwa TANU YOUTH BANTU na baadae TANU YOUTH LEAGUE (umoja wa vijana wa TANU)!

Baada ya kuanzishwa kwa CCM umoja huo uliendelea na kubadilika kuwa UVCCM(Umoja wa Vijana wa CCM) wenye sehemu ya chipukizi na green Guard, hawa green guard majukumu ni yao ni sawa na niliyokueleza hapo kwenye sehemu ya TANU YOUTH BANTU. swali jingine?
Chama Tawala , kuwa na vikundi vya kigaidi, ambavyo ujila wake haujuliakani, nje ya matakwa ya katiba. wanafundihwa ukakamavu, kuwaumiza watu wanaowaona hawaungi mkono. Nikutojiamini kutona na mazambi yao mengi.
 
Hivi karibuni kumeibuka mdahalo juu ya kauli ilyotolewa na Mh. Mbowe juu ya kuanzisha kikosi chao cha kujihami na kujilinda, na Tamko la polisi juu ya kauli ya mbowe ipo sawa ?? Je hawa jamaa wa MAGAMBA wameanzisha kikosi jeshi (KJ) hiki kwa sheria ipi, mafunzo wanapewa na nani? , je chadema wako sahihi au wamekosea?
Hii ni picha ya kikosi cha jeshi la magamba. Je hapo A. senso anasemaje? tunaomba tamko lake juu ya hii kitu.
 

Attachments

  • 988621_462151770547526_1273906642_n.jpg
    988621_462151770547526_1273906642_n.jpg
    69.2 KB · Views: 856
Mhariri Tanzania Daima, kesho weke picha hiyo front page. Hiyo kwata ni ya kijeshi au ni mafunzo ya ukakakamavu wa kujihami kama CDM wanavyotaka kufanya. Ukakamavu yawezekana ikawa ni mafunzo ya viungo, karate ama na namna ya kujiepusha inapotokea hatari kama ya kupigwa mabomu ya machozi, mabomu ya moto na namna ya kuokoa majeruhi as nakumbuka majeruhi wa Soweto arusha waliokolewa na raia na si polisi, polisi walikuwa wanatazama na kuendelea kupiga risasi badala ya kuokoa watu. Green Guards wanapewa mafunzo ya kijeshi na si ukakamavu.
 
Hivi karibuni kumeibuka mdahalo juu ya kauli ilyotolewa na Mh. Mbowe juu ya kuanzisha kikosi chao cha kujihami na kujilinda, na Tamko la polisi juu ya kauli ya mbowe ipo sawa ?? Je hawa jamaa wa MAGAMBA wameanzisha kikosi jeshi (KJ) hiki kwa sheria ipi, mafunzo wanapewa na nani? , je chadema wako sahihi au wamekosea?
chINJI ni picha ya kikosi cha jeshi la magamba.

Ndugu zangu wanaJF.
Polisi wanajua kuwa kuna GREEN GUARD maana kila mara malalamiko juu ya kundi hili yanapelekwa polisi lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kwa kuwa jeshi linatumikia chama tawala.
Nilimshangaa huyu mama mwenye NDEVU ambaye ni msemaji wa jeshi hilo Advera Senzo, juzi anasema azimio la chadema kuwa na vijana wa kujilinda ni kinyume cha sheria (hakutaja ya nchi gani).
Kama hapa kwetu GREEN GUARD inafanya magwaride, inakaguliwa na viongozi wa CCM na haina athali zozote iweje RED BRIGADE iwe ni kikoso cha kijeshi?
CUF wana BLUE GUARD pia haisemwi, mimi naona hatua ya CHADEMA ni nzuri sana na itatoa muafaka wa kuifuta hii GREEN GUARD labda kama ipo kwa mujibu wa sheria ambayo SENZO atatuambia.
Halafu hawa viongozi wa vyama vya siasa ambavyo havina hata mwenyekiti wa kitongoji kuwa na matamko makali mpaka vituo vya redio kuwa na mahojiano nao sioni kama ni njia sahihi maana hawana wanayemuwakilisha ila wao huitwa kupewa posho tu. CHADEMA wamefanya jambo ambalo liotaleta mshikamano mzuri wa sisi raia wapenda haki ya nchi hii.
 
View attachment 101675
Hawa watakuwa ni M32 wa Magamba sio M23, halafu wanaoandaa hotuba za Mh. Rais Jakaya Kikwete hivi huwa wanafanya Marejeo ya mambo yalivyo (uhalisia) ili kumuondolea mkanganyiko katika hotuba zake?au na Mh Rai huwa hazipitii hizi hotuba kabla ya kuzisoma hadharani?
 
Dawa ya moto ni moto! Kwa CCM kuwa na green guards inayopewa mafunzo ya kijeshi na JWTZ ni busara nayo CHADEMA ikawa na kikosi chenye hadhi sawa na mafunzo ya kijeshi kama green guards
 
Polis wamevaa ile miwani maarufu kwa jina ccm ukitaka kujua hyo ichokoze ccm utasikia viongozi wa polis wanavyoswma kwa jazba bila kudikilia cdm wamesema wanaanzisa mafunzo ya hkakamavu kwa vijana wao poli bila kufikilia wamekurupuka na matamko ya ajbau basi somenj katkba ya cdm mbona hilo lipo Tendwa hakuliona hilo achane kukulupuka policccm mnaidhalilisha kada yenu mmetegwa mmeingia cdm wajanja jamani. Video ya arusha wanayo wameshawashinda nyie kazi yenu miguvu tu jeshj la zamani hilo tumieni akili baaaá
 
Hawa CCM wanajikanyaga tu, na nimemshangaa sana JK kwa kujifanya kukemea nia ya Chadema...

Nakumbuka nikiwa mdogo kulikuwa na makambi ya vijana wa CCM, wenyewe tulikuwa tunaitwa CHIPUKIZI...

Kwenye makambi yale tulikuwa tunafunzwa mbinu ndogo ndogo za kupambana na hazikuwa tofauti sana na zile za Scouts...

Ilikuwa kama fasheni hivi kwa kijana mdogo kuwa mfuasi wa CCM Chipukizi na wengi wetu tulijiunga huko...

Sina uhakika sana kama bado huu mtindo upo ndani ya CCM, zaidi kuna hili jipya la Green Guards...

CCM na Serikali yenu kupitia kwa Rais, tambueni kuwa ninyi ndio waanzilishi wa haya yote na CUF, CDM na wengineo wanawaiga tu, hivyo anzeni kujing'uta ninyi mavumbi kabla ya yote.
 
Uthibitisho wa MAGAMBA kuwa na kikosi cha ukakamavu na kujilinda uko wazi
 
hawa wote watakutana mtaani baada ya mafunzo...naona kwa mbali hawa vijana wanavyopambana
kama kenya na mungiki...

hapa serikali ipige marufuku vikundi vyote hivi vya ulinzi wa vyama...

Green Guards ..( ccm)
Blue Guards ..(cuf)
na sasa Red Bigade...ya ( cdm)
 
hawa wote watakutana mtaani baada ya mafunzo...naona kwa mbali hawa vijana wanavyopambana
kama kenya na mungiki...

hapa serikali ipige marufuku vikundi vyote hivi vya ulinzi wa vyama...

Green Guards ..( ccm)
Blue Guards ..(cuf)
na sasa Red Bigade...ya ( cdm)

Na security guard je?
 
Kwann wasijue.mbna gréen guard na polisi wanafanya matokeo yanayo fanana.

Sasa wabongo tumeelimika sio kupigwa shavu la kushoto unamgeuzia la kulia eti mpende adui yako;Magamba mtashaaa!,mlikula sana bata mpaka kuku sasa wameshtuka.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nimekuwa nikifatilia hiki kikundi kinachoitwa green guard kwa muda hivi malengo yake nn?mbona kama baadhi ya vitendo vyake kama kupiga wapinzani vinashabihiana na vilivyofanywa na kile kikundi maalufu kilichotekeleza mauaji ya kimbari kule rwanda?mwenye kujua shughuli zake kwa undani atupashe,usipoziba ufa utajenga ukuta

Ndo pale police wanapopoteza uhalali wa kuwepo...kama wapo na wako impartial kwanini waruhusu vyama kujilinda?
 
Ndugu wana JF, nimesikitishwa sana kusikia kuwa Chama Cha Mapinduzi kina jeshi.

Je hii ndio katiba ya nchi kuwa kila chama kiwe na jeshi lake? Mbona hapatatosha.

Ninasadiki kuwa Nyerere (RIP) aliona mbali kwa kuondoa kile kiitikio cha "zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama".

Nielewesheni jamani

Hawana tofauti na interahamwe.
Halafu nchi inayumba mkuu wa nchi yupo kimya anastarehe
View attachment 101756
 
Back
Top Bottom