Great wknd!

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,166
300px-Klitschko_vs._Haye.jpg


article-2010350-0CD1EC5F00000578-200_634x461.jpg


tape-klitschko.jpg
tape-haye.jpg
 
samahani mkuu kwa saa za bongo ni saa ngapi?
Itaanza 10pm lakini kama unataka kuangalia main event(Haye vs Klitschko) itategemea na undercard fights, my guess will be around 12am midnight.
 
Petra Kvitova won her first Wimbledon title by beating 2004 champion Maria Sharapova 6-3 6-4 in the women's final.

_53823541_012359071-1.jpg
_53822709_012359209-1.jpg
 
Waingereza wanashindwa kila kitu, mpira wabovu, tennis wabovu, ngumi ndo hivyo sijui wao bora katika nini?
 
Waingereza wanashindwa kila kitu, mpira wabovu, tennis wabovu, ngumi ndo hivyo sijui wao bora katika nini?
Umenikumbusha tennis player Tim Henman, Media walikuwa wanampandisha wimbledon ikianza hafiki sehemu. All mouth but no action.
 
Mkuu ray b waingereza ni mabingwa wa kubwabwaja tu na si michezo.wazee wa blablaaaa!!!!!
 
Mkuu ray b waingereza ni mabingwa wa kubwabwaja tu na si michezo.wazee wa blablaaaa!!!!!<!-- google_ad_section_end -->

KAMA YANGA
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom