Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...
Nawasilisha...