Great Thinkers nisaidieni, Huyu dada vipi....?

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...
 
  • Thanks
Reactions: Uda
mATATIZO YANAKUPIGIA HODI bRODA!

Angalia sana watu wa jinsi hiyo, huenda unapigiwa hesabu ya fumanizi!
!
 
What DO YOU HAVE IN MIND? She likes you! Are you ready for it? If I were you, I would run away fast, fast, very very very fast!!!! Mapenzi kikohozi, ukianza kula mzigo, then one day jamaa atawafuma live! Do you have an idea what he will do? Likely, he will harm you. Ask yourself, a wife of a friend and neighbour, does she worth of all those suffering on your side? Wanawake wako wengi!
 
mnhhh...jibu maswali yafuatayo then sie ndio tupate nafasi ya kukushauri
1-yeye ameolewa na mmewe unamfahamu..je wewe umeoa?
2-huja sebuleni kwako?..kufanya nn?...na kwanini huja wakati mmewe kasafiri?
3- mke wa mtu ni sumu..unalijua hilo?
4- mlishawazhi kutamkiana mambo yoyote ya mapenzi?
5-anamfahamu mkeo au hata girlfriend wako?
6- ushawahi kusikia mtu kaliwa kiboga na kupigwa picha za video na mnato kisha zikabandikwa mitaani?...ungependa uwe mmoja kati ya hao walowahi kuliwa kiboga kisa mke wa mtu?
7- cha mtu mavi ukikiona kiteme..au umesahau nahau na misemo yetu ya kale?
KAMA MAJIBU YOTE NI NDIYO...ACHA MARAMOJA KUMFIKIRIA KIMAPENZI MKE WA MWENZAKO...KAMA NI HAPANA ANZA KUMTONGOZA NA MMEWE AKISAFIRI NEXT WEEK MLE KIBOGA... NA KAMA MAJIBU NI SIJUI BASI MUENDELEE NA STORI ZA KAWAIDA NA AWE RAFIKI YAKO MPAKA MMEWE AJUE KUWA WEWE NA MKEWE NI MARAFIKI WEMA..ni maoni tuu
 
mATATIZO YANAKUPIGIA HODI bRODA!

Angalia sana watu wa jinsi hiyo, huenda unapigiwa hesabu ya fumanizi!
!

What DO YOU HAVE IN MIND? She likes you! Are you ready for it? If I were you, I would run away fast, fast, very very very fast!!!! Mapenzi kikohozi, ukianza kula mzigo, then one day jamaa atawafuma live! Do you have an idea what he will do? Likely, he will harm you. Ask yourself, a wife of a friend and neighbour, does she worth of all those suffering on your side? Wanawake wako wengi!
Well noted.... and strongly appreciated....!

mnhhh...jibu maswali yafuatayo then sie ndio tupate nafasi ya kukushauri
1-yeye ameolewa na mmewe unamfahamu..je wewe umeoa? YES
2-huja sebuleni kwako?..kufanya nn?...na kwanini huja wakati mmewe kasafiri? BINAFSI SIJUI
3- mke wa mtu ni sumu..unalijua hilo? YES
4- mlishawazhi kutamkiana mambo yoyote ya mapenzi? NO, and NO PLAN
5-anamfahamu mkeo au hata girlfriend wako? NO, BUT SHE IS AWARE OF MY MARITAL STATUS
6- ushawahi kusikia mtu kaliwa kiboga na kupigwa picha za video na mnato kisha zikabandikwa mitaani?...ungependa uwe mmoja kati ya hao walowahi kuliwa kiboga kisa mke wa mtu? MUNGU ANIEPUSHE MBALI KWA KILA NAMNA
7- cha mtu mavi ukikiona kiteme..au umesahau nahau na misemo yetu ya kale? NEVER FORGOTEN
KAMA MAJIBU YOTE NI NDIYO...ACHA MARAMOJA KUMFIKIRIA KIMAPENZI MKE WA MWENZAKO...KAMA NI HAPANA ANZA KUMTONGOZA NA MMEWE AKISAFIRI NEXT WEEK MLE KIBOGA... NA KAMA MAJIBU NI SIJUI BASI MUENDELEE NA STORI ZA KAWAIDA NA AWE RAFIKI YAKO MPAKA MMEWE AJUE KUWA WEWE NA MKEWE NI MARAFIKI WEMA..ni maoni tuu

Well noted anyway.... Thanks sir....!
 
Umesema anajiheshimu inakuwaje anakuja chumbani kwako nakukutaka kimpenzi mke wa mtu heshima hapo iko wapi.
inaoneana unamtaka kaa mbali kijana achana na wake za watu
 
Umesema anajiheshimu inakuwaje anakuja chumbani kwako nakukutaka kimpenzi mke wa mtu heshima hapo iko wapi.
inaoneana unamtaka kaa mbali kijana achana na wake za watu

Asante BW maana ndicho na mimi nlichokua najiuliza!!Anajiheshimu vipi kama anakuja kujiachia kwa mshkaji kihasara hasara!!!
 
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...

Kwani wewe una upungufu wa Nguvu Za Kiume? Mwanamke aliyeolewa anakuja mpaka sebuleni kwako halafu unamwacha hivi hivi? Huyo anahitaji msaada wa haraka, mpatie tafadhali, au kama vipi naomba unianganishe naye huyo m-dada...!
 
Kwani wewe una upungufu wa Nguvu Za Kiume? Mwanamke aliyeolewa anakuja mpaka sebuleni kwako halafu unamwacha hivi hivi? Huyo anahitaji msaada wa haraka, mpatie tafadhali, au kama vipi naomba unianganishe naye huyo m-dada...!

ila na yeye awe tayari kwa lolote
 
Wahaya wanasema 'mko muntu irungu' yaani 'mke wa mtu ni msitu mkubwa',tafakari.
 
Mimi nadhani unamu-intertain!!! coz usingemu-intertain asingethubutu kuja hapo sebuleni kwako yeye mke wa mtu tena na mume wake akiwa hayupo? mhh! Mtu sahihi wa kumuomba ushauri ni mume wake, mwambie hivi huyu mkeo mbona anapenda kuja sebuleni kwangu wewe ukiwa haupo? alternatively, mwambie aache mara moja kama kweli hupendi!!!!!!!!
 
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...

Kusoma huwezi hata picha huoni?
 
Umeona madhara yawakutao cheaters this year. Sasa kama wataka kuwa mmoja wao keep on. Kitendo cha wewe kukaa na mke wa mtu sebuleni kwako kinatosha mwenye mke kukutia panga whether unachakachua or not. Kama huko tayari kwa lolote endelea. Kama unajipenda hacha kabisa kumkaribisha ndani mwako.
 
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...


Hapo ni kwamba mshatongozana psychologically na mumeshakubaliana,,, ila kama kawa mwanamke anusubiri uchukue first step ya kumshika paja hilo then safari iendelee... Konakali pleease achana nae... muweke mbali for the benefits of you both.....
 
Be careful man, hapo kuna harufu ya matatizo kwa mbali. Kama anajiheshimu mapaja yasingegusana, anapretend anaheshima, na wewe unajua hana hiyo heshima ila unajidanganya kumuona anaheshima.
Angalia fumanizi, na moja ya sifa ya fumanizi ni kukuachia muhuri wa maisha.
 
Back
Top Bottom