Huyo Mgonja ni yupi huyo? Wenye vitu vyake mwageni hapa, mimi jamani huyo kanipita pembeni, lakini ninamjua msaidizi wake shujaa mama Joyce Mapunjo, ambaye nimemshuhudia kwa macho yangu akimrekebisha rais wetu akiwa waziri,
Kuwa waziri hapa umekosea sio sawa ulivyosema au unavyofikiri, mzee mzima akampa bonge la jicho, na mama naye akasimama na kumpa macho, na kwenye makatibu akamchagua, Mama Mapunjo you are my hero! na ninakuombea upewe ukatibu kamili na baadaye uwaziri,
ila wazee huyu Mgonja simfahamu vizuri ingwa nimemuona sana, wenye data mwageni uwanja uko huru huu!