Kuna habari kuwa Gray Mgonja anakwenda kuwa Gavana wa BOT na Dr Dau anakwenda kuwa DG wa TRA....Mgonja kwa sasa ni Permanent Secretary Treasury na Dr Dau,(huyu ni mchezaji mpira wa zamani wa Yanga) yeye yuko NSSF. Bado nafuatilia hili suala kwa ukaribu sana,na habari zaidi ziko njiani