Graph ya JK Yapanda kwa Kasi

Nini maoni yako kuhusu approval rate baada ya uteuzi wa baraza jipya?

  • Approval Rate above 70%

    Votes: 4 11.1%
  • Approval Rate between 40-69%

    Votes: 3 8.3%
  • Approval Rate below 40%

    Votes: 29 80.6%

  • Total voters
    36
Mimi kwa maoni yangu, JK aliharibu sana nchi hata ikafika mahali ikaonekana anaweza asimalize kipindi cha uongozi wake. U turn imetokea baada ya kuteua baraza jipya ambalo lina watu wazuri kupita mabaraza yake yote tangia achaguliwe. Kwa jinsi hii naomba tupige kura kwamba JK ame improve au la!
Tuonyeshe kwanza ushahidi wa hiyo u turn kabla hujatuambia tupige kura.U turn gani?
 
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yana positive impact ipi katika maisha ya Mtanzania wa kawaida? Je ugumu wa maisha umepungua?
 
Mimi kwa maoni yangu, JK aliharibu sana nchi hata ikafika mahali ikaonekana anaweza asimalize kipindi cha uongozi wake. U turn imetokea baada ya kuteua baraza jipya ambalo lina watu wazuri kupita mabaraza yake yote tangia achaguliwe. Kwa jinsi hii naomba tupige kura kwamba JK ame improve au la!

Mimi ninafikiri kesi ya Dr. Ulimboka ndiyo iliyompandishia chart zaidi. Migomo, mfumo wa bei, wizi wa wanyama pori, madini, na gas vinamwongea alama. Yaani usipoangalia tutamchagua kipindi cha tatu kwa jinsi watanzania tulivyonufaika na ufisadi wake na uongozi wake kwa ujumla.
 
ujinga mtupu,sijaona improvement yeyote may b kama mtoa mada anajipendekeza kwa ...............
 
Ipande thubutu!
Huku walimu wakiendelea na mgomo(sijui ndo baridi),
na madaktari wakiwa hawajigusi(mgonjwa m1 anaonwa kwa muda wa saa 1,na kifaa tiba au dawa kikikosekana, hahangaiki kutafuta mbadala kwn si kazi yake).
Na hawa wawili kwa kada zao ndo wapo karibu na wananchi to ground level, halafu unasema grafu imepanda!
Lazima uwe haujalewa!
 
Ipande thubutu!
Huku walimu wakiendelea na mgomo(sijui ndo baridi),
na madaktari wakiwa hawajigusi(mgonjwa m1 anaonwa kwa muda wa saa 1,na kifaa tiba au dawa kikikosekana, hahangaiki kutafuta mbadala kwn si kazi yake).
Na hawa wawili kwa kada zao ndo wapo karibu na wananchi to ground level, halafu unasema grafu imepanda!
Lazima uwe haujalewa!
 
kabla ya yote wewe mwenyewe unakubali ameteua baraza zuri la mawaziri.! Sasa tutoe maoni gani.? Raisi akiwa dhaifu sidhani kama baraza la mawaziri litafanya vizuri.
 
Sina maoni wala kura yeyote hapa tupo mwaka wa 7 sasa nchi inajiendesha yenyewe. Hao mwaziri ni mbwembwe tuu, ni sawa na mtu aliyekuwa amekufa sasa yupo icu lakini moyo na akili hazifanyi kazi
 
bado sana, hadi zile ahadi zake zitimizwe! nadhani unakumbuka aliyoahidi! Vinginevyo utakuwa unafiki kuanza kumsifia wakati hakuna matokeo yatokanayo na hizo changes. Vuta subira utapiga kura haraka ya nini!!

Well said, atimize ahadi zake zinnazofikia 90 trilioni. Kwani mpaka sasa ametekeleza kwa asilimia ngapi?
 
Sub ya cubeli ni
ugolo kavute.....
Jk (jua kali) lote mpaka mifukon
kura za nini?

V
SENGEREMA
 
Yapanda kwa kasi kwenye sekta gani?au ya kupukuchua mahindi kama ambavyo tumemuona juzi
 
mtoa mada mshauri vyema tu mkuu mwambie wanachi wamechoka, anatakiwa apunguze utegemezi wa bajeti kwa 100% ndio chati itapanda. Ombaomba chati yake hupanda kwa kupata misaada mingi?.
 
no improvement at all! Alichokifanya ni kuwaweka marafiki wake kwenye wilaya/mikoa. Mfano mmoja: Cap chiku galawa ni ndugu tumbo moja na mzazi mwenzake aliyezaa naye ridhiwan. This is a single example mind! Of course kuna mawaziri amewaweka (mmoja wawili) like mwakyembe, kagasheki wanafanya vizuri. General finding ni kuwa he is no better!

undugunization + technical know whom +urafiki + kuchekeana + misifa = total failure
 
Back
Top Bottom