Ndio shida ya elimu iliyoletwa na meli,zamani wanajamii walikuwa na majukumu kutokana na umri na ukifika umri fulani lazima mpatiwe mafunzo Fulani na watu maalum mfano kuwinda,ulinzi,kilimo hivyo hakuna kukosa kazi ya kufanyaTatizo graduates tumefungiwa kwenye box kifikra, box moja dogo tu. Box la elimu tuliyopata shule.