ommky
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 459
- 225
D inaanzia 50-59, E 41-49, hiyo D ni B mwaka jana na hiyo E ni C mwaka jana halafu mtu amesoma kombi complicated PCB, PCM au PGM at the end of the day hamna chuo tena taarifa inakuja baada ya matokeo kutoka. Kheri basi ingekuja bado watu mashuleni wajipange kikamilifu. Huu ubabe chini mwamvuli wa CCM ni noma.
Hivi TCU walikaa chini na kujadiliana vizuri au ni mtu mmoja amekurupuka huko? This is not fair, wengne tumesoma shule za taaabuuuuu.

Hivi TCU walikaa chini na kujadiliana vizuri au ni mtu mmoja amekurupuka huko? This is not fair, wengne tumesoma shule za taaabuuuuu.
