KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
:israel: Kwa wale wenye shauku kubwa ya kutaka kujua umepangiwa daraja la ngapi na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka kwanza udsm yaani 2012/13 angalieni mwisho wa matokeo yenu ya o-level kulia mtaona alama A,B,C,D......
ikimaanisha ni asilimia ya kiwango cha mkopo utakacholipiwa na bodi ya mikopo kazi kwenu kuperuziii.
ikimaanisha ni asilimia ya kiwango cha mkopo utakacholipiwa na bodi ya mikopo kazi kwenu kuperuziii.