Mwanachama Sahihi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 536
- 164
Vehicle Tracking | Fleet Management | Electronic Cargo Tracking Systems | Tanzania Jaribu kwa hao jamaa, wamenisaidia sana.
Mkuu nashukuru sana, nimependa huduma japo wapo juu sana kwa bei, kuifunga GPS dola 180 gharama za fundi dola 10 na malipo kwa mwezi ni dola 15Vehicle Tracking | Fleet Management | Electronic Cargo Tracking Systems | Tanzania Jaribu kwa hao jamaa, wamenisaidia sana.
Ndio hivyo bosi vitu vizuri hupatikana kwa gharama kubwa...naamini kupitia uzi huu utafanya uamuzi unaokupendeza zaidi, sisi wengine tumefanya kwa kadiri ya uwezo wetu. All the bestMkuu nashukuru sana, nimependa huduma japo wapo juu sana kwa bei, kuifunga GPS dola 180 gharama za fundi dola 10 na malipo kwa mwezi ni dola 15
Mkuu hebu elezea tunapataje hiyo huduma hata mimi nataka kufunga kwenye vyombo vyangu vya usafiri
Mkuu ulinunua toka kampuni gani??Kwenye hiyo track R kuna mushkeli kidogo kwenye umbali. Au nimekosea mimi.
Track it down. From anywhere If an item goes missing, TrackR's Crowd GPS network will help you find it. When another user of the TrackR app comes within 100ft range of your lost item, you will receive a GPS update of where your item is
Mimi huwa natumia hii hapa chini kwenye gari na pikipiki zangu. Haina gharama kubwa baada ya kuifunga zaidi utatakiwa kuhakikisha betri haichomolewi na unaweza kuweka vocha ya 500 kwa mwezi mzima. Vicha yenyewe ni weww kuituma kama unamtumia mtu salio. Hivyo utatakiwa kujua namba ya kila gps.
Mkuu za bajaji mnauzaje na huduma zenu zipoje. Ili kupata huduma ni lazima kulipia kwenu kila mwezi??Habari, tunatoa huduma hiyo ya kufunga na kuuza pia Unit za aina zote kwajili ya magari makubwa, madogo, pikipiki na bajaji kwa mawasiliano tupigie 0774819712 or email: info@24security.co.tz
Mkuu ulishapata hii huduma??GPS device si inahitaji utaalamu kufunga ndugu au mtu yoyote anaweza kufunga? Je kuagiza toka China gharama zake ni kiasi ghani?
GPS tracking devices zote zinahitaji network, sio lazima internet but network ya simu ni lazima. Je ushapata huduma mkuu?? I will be there to guide you.Hoi itasaidia hata kwa wenye boda, nisaidie jinsi ya kuagiza na zenye ubora maana wawezapata ila muda wote inataka intermet connection sasa kwa network yetu hapa nchini maeneoengi chenga
Tunachaj Rental fee au installations fee, tukikuchaj rental device inakuwa mali yetu tunakufungia buree kabisa ila kila mwezi unalipia TZS 8,500/=, ila ulitaka kununua tunachaji 128,000/= na kufunga ni 50,000/=Mkuu za bajaji mnauzaje na huduma zenu zipoje. Ili kupata huduma ni lazima kulipia kwenu kila mwezi??
Hii haina ubishi mkuuKama boda boda watafungiwa GPS wao ndio watakuwa wa kwanza kutoa siri kwa wahalifu,akili zao wanazijua wenyewe.
Ninachofahamu ukifunga GPS katika chombo chako cha usafiri siri ni kigezo nanba moja.
Yaahh..!! Ndo maana unapofunga unashauriwa hata dereva wako anayeiendesha asijue kuwa umeifungaKama boda boda watafungiwa GPS wao ndio watakuwa wa kwanza kutoa siri kwa wahalifu,akili zao wanazijua wenyewe.
Ninachofahamu ukifunga GPS katika chombo chako cha usafiri siri ni kigezo namba moja.
Mi nataka ni mtrack shemeji yenu nafkiri hii njia inafaaYes.. unaweza nunua MB remotely he has to remember namba ya simu tu, ni nzuri zaidi akatumia Halotel, na bundle ya wanavyuo, which is very cheap, unapata MB kibao eg. sh. 500 unapata 600Mb kwa wiki nzima ambazo hazitaisha, na simu iwe ndogo aifiche kwa kui design chini ya spedometer ya boda boda.. ili isionekane..!!