Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,857
- 1,542
Shukrani wakuu,
Ninayo toyota Passo kutoka japan na nilitaka kuitumia gari hasa yaani system zote katika gari zifanye kazi lakini kuna hii kitu naona inaninyima raha sana. Hii gari imekuja na navigation system na juu ya dashboard kuna sensor gps sasa kinachoniboa mimi hii system inasoma ramani ya japan na si tanzania. Mwenye uwelewa au mtaalamu wa Navigation za magari, na magari mengi nishakutana nayo hii system non function.
Ninayo toyota Passo kutoka japan na nilitaka kuitumia gari hasa yaani system zote katika gari zifanye kazi lakini kuna hii kitu naona inaninyima raha sana. Hii gari imekuja na navigation system na juu ya dashboard kuna sensor gps sasa kinachoniboa mimi hii system inasoma ramani ya japan na si tanzania. Mwenye uwelewa au mtaalamu wa Navigation za magari, na magari mengi nishakutana nayo hii system non function.