GPS Katika Simu

Accuracy ya GPS yeyote ile inayotumika uraiani inachakachuliwa na wenye kuratibu uwezo wa sattelite (US Gov.) isikupe "correct position", zinazotumika na meli na ndege zina uhafifu kidogo na wanazotumia wenyewe kiujasusi na kivita zipo super accurate (within 20 cm).

Kumbuka kuwa GPS na Internet vyote ni vyombo vya jeshi la USA.
 
Hehe sijui settings lakini GPS signal inapatikana Tanzania.

Uhm ni kwamb GPS ni kfaa knacho~calculate time and position and it can capture the position! settings za GPS zna base kweny Datum na Coordinates! so setting zikikaa vbaya utashangaa unapata jbu kuwa upo katkat ya bahar sehem fulan! i hope nimeeleza sawia
 
Fuata hatua hizi
1. Download apps inaitwa GPS Essentials kwenye google apps store then install kwenye smartphone yako au download apps inaitwa RTK (Real Time Kinematics).
2. Ukisha install kwenye GPS Essentials apps; select settings-Datum or projection chagua arc1960 or clark1880 all works as the same-Projection chagua UTM(Unirversal Transverse Mercator)-Units chagua Metric or Killometers.
3. Then click hiyo apps select sattelites subiri mpaka accuracy ifike atleast 3metres from your current locaton there after select waypoints then uta rename point ID na utapata 3D coordinates (X,Z,Y) or (E,N,Z) depending on your choice.

Ukishindwa niPM uje na hiyo simu yako nikusaidie.
 
Kwa mfano ukipata hizo coordinates unapeleka wapi kwa matumizi gani. Eleza vizuri nikuelimishe.
Kama ni kwa matumizi ya Engineering, Mining, constructions and lan surveying hiyo gps ya simu na handheld gps not acceptable.
 
Accuracy ya GPS yeyote ile inayotumika uraiani inachakachuliwa na wenye kuratibu uwezo wa sattelite (US Gov.) isikupe "correct position", zinazotumika na meli na ndege zina uhafifu kidogo na wanazotumia wenyewe kiujasusi na kivita zipo super accurate (within 20 cm).

Kumbuka kuwa GPS na Internet vyote ni vyombo vya jeshi la USA.

Mkuu kuna GpS ya accuracy ya 20cm? Unaweza nipa reference tafadhali, TIA
 
Uhm ni kwamb GPS ni kfaa knacho~calculate time and position and it can capture the position! settings za GPS zna base kweny Datum na Coordinates! so setting zikikaa vbaya utashangaa unapata jbu kuwa upo katkat ya bahar sehem fulan! i hope nimeeleza sawia

Geographic positioning System (GPS) sio kifaa bali ni mfumo ingawa watu wengi hudhani ni kifaa, ila kama kampuni kama Garmin ndio wanatengeneza GPS receiver kwa jina la kampuni.
 
Kwa mfano ukipata hizo coordinates unapeleka wapi kwa matumizi gani. Eleza vizuri nikuelimishe.
Kama ni kwa matumizi ya Engineering, Mining, constructions and lan surveying hiyo gps ya simu na handheld gps not acceptable.

Mfano nataka kutumia kutengeneza topographical ramani, unaweza kuelezea mkuu? Nina shida sana na jinsi ya kuitumia simu yangu kuanzia kufanya 'marking waypoints' ili nije niingize kwenye SAGA na GIMP softwares in landscape analysis. Ukiweza utanisaidia mchongo wa kutumia Digital Elevation Model (DEM) kwenye maps. TIA
 
Mkuu kuna GpS ya accuracy ya 20cm? Unaweza nipa reference tafadhali, TIA

Yes, but you will never set your eyes on it. It was used to send missiles into the bunkers "windows" (ventilation) during Gulf War. That was around 20 years back, right now they are talking of GPS III with super accuracy of few millimeters.

The US military and other agencies use augmentation systems that provide higher accuracy. GPS.gov claims that "these enable real-time positioning to within a few centimeters, and post-mission measurements at the millimeter level." Right now, the Air Force and Lockheed Martin are working on GPS III. It will greatly increase accuracy while giving a stronger signal, harder to jam and capable of penetrating areas in which the current GPS doesn't work.

Source: China Has Its Own GPS Now—And It's Better Than Yours
 
FaizaFoxy na Jerrymsigwa.

1.Jerrymsigwa;
Gps ya simu huwezi fanyia topography. Ila inawezekana kwa kutumia software inaitwa GLOBAL MAPPER. Hii unahitaji atleast 3 known coordinates za eneo lako kisha tunaziload kwenye globalmapper na kupata topography map mzuri tu na accuracy katika actual terrain representation lakin interms of mathematical units ina errors ya 3m in X,Y coordinates and 25m in Z-coordinates. Kwa matumizi ya kawaida kama references na presentation inakubalika but for engineering uses is not acceptable. Topography inayokubalika kwa engineering ni either ifanywe na land surveyor kwa kutumia kifaa kinaitwa total station au DGPS (Differential Global Positioning System) au kuna satellite images zenye accuracy of up to 1m angalau kidogo unaweza tumia. Hii global mapper sio free software inauzwa usd 500 kwa sasa ila mimi yangu nilinunua usd350.

2.FaizaFoxy

You are almost true but in addition to your point ukihitaji hata 3cm accuracy is possible but it depends in several factors like service provider and GPS receivers. Mfano OmnSTAR inafanya vizuri sana sokoni service from south africa but you have to pay about Tsh.1.5mil/year. kuna kitu kinaitwa multpath hii huharibu sana accuracy kwa sababu inasabisha signals from satellite to be weak and the receiver geting a weak signals and finally you get poor accuracy. kuna kitu kinaitwa satellite almanarc ni mpangilio wa satellite kwenye orbit yake, kama almanarc ipo ovyo tarajia poor accuracy. Pia DGPS receivers kama vile NOVATEL, LEICA,CHC,TRIMBLE,NIKONI,SOKKIA etc zinafanya vizuri hivyo kupata accuracy 3cm-30cm pia hutegemea muda utakaokaa at single point while accumulating signals the long the time the best the accuracy. Satellite signal emitters or transmitters like GNSS, GLONAS,GALILEO etc itakupa utakacho lakini hutegemea na sababu tajwa hapo juu. Hizi GPS za simu ni kwa ajili ya reference sio engineering use jamani ni miaka kumi sasa nipo mgodini nafanya kazi na GPS almost kila siku na nina kabachelors ka hayo mambo ingawa siwezi kuandika sana nipo bize na kazi za watu nisije timuliwa nikakosa ugali wa watoto. mwenye shida private niPM. Samahani ki-English changu kinamatege lakini naamini waswanglish tunaelewana.

Kwa kuongezea ni kweli GPS ni mali ya jeshi la marekani kwa zamani lakini kwa sasa mataifa mengine wameamua kuanzisha satellite zao kwa ajili ya positioning services ndo tunapata hizo GNSS, GLONAS,GALILEO sio za marekani. walianzisha zao kwa sababu za kiusalama maana mmarekani alikuwa na nyodo na signals zake. Sasa wachina,india,brazil,urusi,germany australia pia wana zakwao.
 
Back
Top Bottom