Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
Hi Team
Simu za kisasa zinakuja na GPS within ni feature nzuri sana katika matumizi hasa kujua uko upande gani,Pia zinakuna na Worldmate ambayo hutumia kwa wafanya biashara na wasafari hata kwa mtu wa kawaida...akitaka kujua muda wa miji mbali mbaili duniani.
Swali langu la msingi liko kwenye setup ya GPS kwenye simu.Hili nimekuwa najaribu kulifanya kwa wiki sasa...kila nikijaribu kupata exactly location ya nilipo inanitupa kama 120m away from original location..ukichukua point hizo kuziweka katika software flan ina project ohh mbali sana.
1.Nacho uliza vodacom wana settelite ambayo inakuwa connected na GPS za wateja wao?
2.Ni iko acculate kiasi gani hiyo Settelite...kwani hata ukienda kwa costomer service wao naona kama huduma ya kuuliza maswali kuhusu hilo hamna.
3.Je Kuna setting ambazo natakiwa kufanya labda kuweza kupata good results achilia mbali lazima uwe nje na weather iwe cool?
Regards
Buswelu
Simu za kisasa zinakuja na GPS within ni feature nzuri sana katika matumizi hasa kujua uko upande gani,Pia zinakuna na Worldmate ambayo hutumia kwa wafanya biashara na wasafari hata kwa mtu wa kawaida...akitaka kujua muda wa miji mbali mbaili duniani.
Swali langu la msingi liko kwenye setup ya GPS kwenye simu.Hili nimekuwa najaribu kulifanya kwa wiki sasa...kila nikijaribu kupata exactly location ya nilipo inanitupa kama 120m away from original location..ukichukua point hizo kuziweka katika software flan ina project ohh mbali sana.
1.Nacho uliza vodacom wana settelite ambayo inakuwa connected na GPS za wateja wao?
2.Ni iko acculate kiasi gani hiyo Settelite...kwani hata ukienda kwa costomer service wao naona kama huduma ya kuuliza maswali kuhusu hilo hamna.
3.Je Kuna setting ambazo natakiwa kufanya labda kuweza kupata good results achilia mbali lazima uwe nje na weather iwe cool?
Regards
Buswelu