MOI JOHN
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 1,736
- 1,078
ukuelewa=hukuelewa
ukuelewa=hukuelewa
a!!exactlykweli tumeumbwa tofauti... masters ya udsm nayo yakusikitikia kweli kutemwa... may be undergraduate hujasoma udsm au mzumbe...
wengi waliosoma udsm masters wanawazaga majuu
Unasoma course gani ?mimi nina 3.0 GPA and niko Masters Mwaka wa mwisho hapa UDSM, wewe umekosa vipi mkuu??
Ulisoma kwa scholarship mkuu?? Nawezaje kupata na mimi??kaka lazima kutakuwa kuna kituhaukuweka au ulikuwa umezidi deadline ila sio GPA hiyo UDSM
watu bwana mnavyoipaisha udsm mimi ninasoma university of cape town the first university in africa msc mathematical modelling na nina gpa ya 3.4 swala lakupata admission ni compitition tuu na the way ulivyoandika recommendation letter and ile document unayo eleza what do you want to study masters and why are they to select you not others GPA ya 3.9 ni kubwa saaana mazee kwa degree za science jamani ie BSC ila sina experience kwa zingine ihave friend of mine anasoma udsm MBA na ana gpa ya 3.3
Mnasoma kwa scholarship? Nawezaje kupata?Kwa uzoefu wangu siyo Rahisi kutemwa kwa GPA hiyo tena Master's. Aidha, Vyuo vingi kwa sasa vipo kibiashara zaidi na kwamba vinapata mapato kupitia ada zinazolipwa na wanachuo wa ngazi tofauti tofauti.
Nakushauri, uende kuulizia shida ni nini na pengine yawezekana hukufuata baadhi ya vigezo wakati wa kujaza fomu za maombi. Watu huwa wanapata usajili hata kama Mwk wa masomo umeshaanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nina 3.0 GPA and niko Masters Mwaka wa mwisho hapa UDSM, wewe umekosa vipi mkuu??
hapana najisomesha mwenyewe kaka mimi scholarship naona kama kuna ugumu saaana kupata unless uwe public au civil servantUlisoma kwa scholarship mkuu?? Nawezaje kupata na mimi??
Poa poa mkuu... Pamoja!!hapana najisomesha mwenyewe kaka mimi scholarship naona kama kuna ugumu saaana kupata unless uwe public au civil servant
Mmmmmh sio kweli ina maana UDSM unaweza fananisha na MZUMBE kwa ugumu wake..?? Yaan unataka kusema mwenye GPA 3.0 UDSM angepata 3.5 MZUMBE???? jitafakari tena mkuu..Ulisomba chuo gani? FYI kuna GPA rescaling so kama una 3.9 mzumbe inaweza kuwa equivalent to 3.3 ya UDSM
Sent using Jamii Forums mobile app
It might be factsKutemwa kwako nadhani imetokana na ushindani katika master's degree hiyo. Mfano labda udsm walitaka master's ya education watu 10 na waliotuma wengi wana G.P.A kuanzia 4 hapo lazima utakosa
Changamoto za kusoma mlimani hazipo sawa na za kusoma mzumbe tena nje ya mji ambako hakuna purukushani kama za jijini.Mmmmmh sio kweli ina maana UDSM unaweza fananisha na MZUMBE kwa ugumu wake..?? Yaan unataka kusema mwenye GPA 3.0 UDSM angepata 3.5 MZUMBE???? jitafakari tena mkuu..
Mmmmmh sio kweli ina maana UDSM unaweza fananisha na MZUMBE kwa ugumu wake..?? Yaan unataka kusema mwenye GPA 3.0 UDSM angepata 3.5 MZUMBE???? jitafakari tena mkuu..
Nina mashaka na elimu yako.
Na kama ni kweli unachokisema bora walivyokutema tu kwa maana hata kuandika hujui.
Inategemea na chuo Muhimbili university kuanzia 2.7 wameiweka kwenye prospectus yao.
Kila chuo kina faida zake na hasara zake. Purukushani zinatawaliwa na mamo mengi siyo kuwa mjini tu.Changamoto za kusoma mlimani hazipo sawa na za kusoma mzumbe tena nje ya mji ambako hakuna purukushani kama za jijini.
Mkuu acha kupotosha watu.. UDSM na Mzumbe wametofautiana kidogo sana kwa idadi ya masomo.. kama sio moja basi 2. Na kama idadi ya masomo ndio ugumu wa chuo basi SAUT kingekuwa no. 1.. Toa hoja za maana mkuu.. ukiangalia paper za mzumbe na zile za UDSM basi UDSM mara nyingi huwa za kawaida sana..udsm ni pagumu kuliko mzumbe.... mzumbe wanasoma masomo machache sana na pepa zao nyepesi sana... angalia first class zao zinavyokuwaga nyingi
Unataka kuniambia TIA, CBE, ARDHI, IFM nk ni pagumu zaidi au ni bora kuliko mzumbe kutokana na purukushani za jiji??Changamoto za kusoma mlimani hazipo sawa na za kusoma mzumbe tena nje ya mji ambako hakuna purukushani kama za jijini.