Gosbert Blandes acha kutudhalilisha Karagwe

Kuna mabo mengine yanamshangaza kila mwenye kufikiri kwa kutumia kwa akili. Juzi madam speaker alisema aliwakataza wabunge kwenda kutafuta mawazo ya wananchi juu ya mswada. Kama nitakumbuka vizuri alisema "niliwazuia kwenda hata ulaya si mikoani tu". Sasa huyu the so called mbunge wa Karagwe alikusanya maoni kwa amri ya nani? Pili kama sikosei Blandes alikuwa kwenye tume ya Jairo muda wote huo. Sasa hayo maoni aliyakusanya lini na wapi? Hakuna sheria ya wapiga kura kum~vote out mbunge anayewasingizia?

Huyu jamaa anayeitwa Blandes namfahamu kwa karibu lakini ukweli ni kwamba he is just a disgrace kwa watu wa Karagwe!!!

Tiba
 
Mkuu, good move. Andaa petition watu wasaini pia. Sijui sheria za bunge zikoje lakini mnaweza kuandika barua ya malalamiko na kuicopy kwa taasisi mbalimbali including huyo kilaza spika- kum-summon mbunge aje afanye mkutano na kueleza ukweli alitoa maoni wapi. Pia unaweza wasiliana na hao watu wa jukwaa la katiba au whatever they are called, wamekuwa so active ktk issue ya maoni nadhani wanaweza kuwapa idea nzuri !

Umesema la maana sana mkuu, ntafanya mpango wa kuwaona wazee wa Karagwe nipate busara zao halafu tuchukue hatua kama ulivyopendekeza.
Pamoja sana
 
Amesahau alivyosindikizwa na msururu wa askari Polisi wakiwa full equipt siku anataka kufanya sherehe ya ushindi wake?. Bado hatujasahau we subiri, na hapa ndo anapalia kuni kwenye kiginga cha moto.
 
Huyu jamaa anadhani tumesahau machungu ya uchaguzi mwaka jana?
Ahsante kwa ushauri mkuu, nadhan hii muvi anataka kuianzisha upya yan ni bora asingeitaja Karagwe yetu maana majority hawamtambui na sasa anataka kutudhalilisha.
Mkuu, good move. Andaa petition watu wasaini pia. Sijui sheria za bunge zikoje lakini mnaweza kuandika barua ya malalamiko na kuicopy kwa taasisi mbalimbali including huyo kilaza spika- kum-summon mbunge aje afanye mkutano na kueleza ukweli alitoa maoni wapi. Pia unaweza wasiliana na hao watu wa jukwaa la katiba au whatever they are called, wamekuwa so active ktk issue ya maoni nadhani wanaweza kuwapa idea nzuri !
 
Atakuwa amewakilisha mawazo ya wale madada poa wa chako ni chako anaokuwaga nao akiwa Dom.
 
NDUNGULILE type!! Hawajui walisemalo ni unafiki kwenda mbele, nayi wa Karagwe mjue sasa ni wakati wa kufunguka na kuachana na watu kama hao. Mlifanya makosa kwa Sir George sasa mmerejea tena kwa G.B.B
 
Nimeongea na watu wengi wa Karagwe kuhusu kauli aliyosema bungeni mbunge wa Karagwe Blandes kuwa wananchi wa Karagwe wamemtuma kuwa wanakubali muswada wa tume ya katiba uliopo bingeni upite kama ulivyo, nao wamesema hawajawahi kumtuma chochote juu ya suala zima la katiba mpya.
Tangu mjadala wa mchakato wa katiba uanze wananchi wa Karagwe hawajawahi kuulizwa maoni yao na walikuwa wanamsuburi huyo mbunge awaeleze kama wao ni sehemu ya Tanzania au la kwa maana mwezi april muswada ulijadiliwa dsm, dodoma, na zanzibar kana kwamba tanzania nzima ni maeneo hayo matatu tu!
Wakati wanasubiri aje kujibu hoja hizo alishindwa kufanya hivyo kwa kusingizia eti hatakuwa na muda kwa sababu ya kuwa kwenye kamati ya bunge juu ya sakata la Jairo. Hivyo hakuzungumza na wananchi hao juu ya katiba.
Tangu hapo hajawahi kuja kuzumgumza na wananchi; wananchi wanasema hivyo kwa sababu pale alipokusudia kuja redio za wananchi (Radio Karagwe na Radio Fadeco) zilitumika kuwatangazia ujio wake na ratiba kamili, na tangia hapo hawajawahi tangaziwa kuwa mbunge atafanya ziara yoyote, hadi muswada ukapelekwa bungeni kusomwa kwa mara ya pili.
Kwa hiyo wananchi wa Karagwe hawajawahi kujadili muswada huo na mbunge wao, na wala hawajawahi kumtuma akubali muswada wa sasa.
Tunamtaka Blandes afute kauli yake haraka iwezekanavyo kwa amesema uongo bungeni na amewasingizia wanachi wa Karagwe mambo ambayo hawajafanya. Kama hataki kufuta kauli yake na kuwaomba msamaha wananchi hao, basi athibitishe ni kikao gani cha wananchi kilichokaa kuzungumzia katiba na kikaazimia kumtuma akubali muswada.
Great thinkers, suala la katiba si sawa na suala na barabara au maji au umeme ambalo mbunge anaweza tu kusema wananchi wangu wanataka.......!
Kwa kuwa najua Blandes hatafuta kauli yake kutokana na jeuri ya ccm, naomba mwongozo wa hatua za kisheria kumshtaki mbunge huyu, kumkataa ili uitishwe uchaguzi mwingine.
 
Nasikia mbunge hawezi kuwa responsible kwa hayo anyosema bungeni. Kwamba ana immunity. Hivyo kuwasingizia wapiga kura si issue maadam amefurahisha baraza. Kwanikesi ya Malima kumsingizia Mengi kuwa anajipatia air time kubwa kuliko rais iliisha vipi? Baada ya tume kufatilia ukweli kwa kutumia million 100 tuliishia kuabiwa kuwa busara ya spika imetumika! Malima hata radhi hakuomba ku uongo aliousema bungeni. Tutafakari!
 
Hana maana yoyote hile huyu jamaa.Mpaka mke wake wa ndoa na watoto kawatelekeza huyo.Sasa itakuwa jamaa wa Karagwe?Waulize wakina Runyoro family wanamjua sana huyo jamaa kwa mikwala yake ..Nawapa pole watu wa Karagwe.Lakini 2015 sio mbali tujipange kumpiga CHINI.
 
Kagera tuna bahati mbaya maana jioni hii nimesikia gamba jingine Jason Rweikiza likisema uongo kwamba limezunguka katika vijiji vyote vya jimbo lake kuchukua maoni ya wapigara kura wake. Ni aibu sana Bkb na Buhaya kuwa na wabunge waongo na wanafiki. Tusifanye makosa uchaguzi ujao hata kama Kanali Masawe atakua bado yupo Kagera.
 
Kungekuwa na namna ya majimbo yote kuwaruka hao wabunge wa CCM waliosema wanawakilisha maono ya wananchi wao, ingekuwa bomba kweli.
 
Nasikitika kuwa Wabunge wa aina hii wanachukulia kirahisi sana jambo la Katiba, ukweli tusipotumia nafasi hii vizuri kuirekebisha Katiba hii tuliyorithi toka kwa Wakoloni, tutazidi kutawaliwa mpaka tuchanganyikiwe. Wakoloni wanapata nafasi hata ya kuchukua kila ktu tulichonacho na hata kuingia katika mikataba mibovu kwa vile Katiba yetu ni ile ambayo tumerithi kutoka kwao, na wanahakikisha vipengele ambavyo vingetuondoa katika janga hilo vinaendelezwa. Ndugu zangu, Katiba tuliyonayo inalinda watu kuwajibishwa na kuwajibika, inatoa mianya ya watu kuamua wanachotaka hata bila ridhaa ya wananchi, hata haya yanayotokea Bungeni mtu kujifanya nawasemea wananchi wake hata kama ni ya uongo, katiba bado inamlinda, unafikiriki kama kungekuwa na kuwaajibisha hawa jamaa unafikiri wangesimama kusema uongo wa iana hii? Blandes namfahamu, tulikuwa wote Junior Seminary pale Morogoro, yupo wa aina hiyo mnavyomwona, MBINAFSI. Shime ndugu zangu tuache ushabiki wa kisiasa tupiganie Katiba itakayotutoa hapa tulipo, vinginevyo tutajuta!
 
[h=3]Radio Karagwe listeners grill their MP[/h]

Karagwe Member of Parliament Gosbert Blandes was on hot seat on Saturday evening, when Radio Karagwe set him up to answer live questions from the listerners.
The radio hosts an interactive programme every Saturday evening and this time Blandes was invited to respond to various thorny questions, among them, compensation for those whose houses will be demolished and banana plantations cleared to pave the way for the construction of Kyaka-Bugene road. The Chinese have started the construction work but the people are in the dark as to when they will be paid their compensation. Mr Blandes laboured to explain to the worried listerners how they will be compensated, saying valuations have been done and money would come any time. The Parliament sessions start on Tuesday and he said he would zealously seek answers from the responsible minister. He also explained efforts being made to bring safe water to residents of Kayanga, Omurushaka and other trading stations.
Karagwe MP Gosbert Blandes
 
Jamani resources zipo, mnashindwa nn kuwabeep waandishi wa habari ( wasiopapatikia bahasha na kuogopa vitisho) mtu aende karagwe au atumie njia yoyote including radio (sijui details hizo radio ni za nani hapo KRG) then aandike article ktk magazeti yasiyo ya magamba !! Tena hii ifanyike ASAP ili kuzuia urongo zaidi wa wabunge wengine...
Hii lazima ipigiwe kelele sana maana ni moja ya sources kubwa za matatizo yetu ( my guess ni kuwa hii ni matokeo ya dili iliyopangwa ktk kikao chao walichokaa masaa km kamati ya chama). Ndo maana yule zuzu mwingine sijui Ummy akaropoka upuuzi wake, eti rais ataunda tume ambayo focus yake ni kupata maoni ya uwakilishi wa makundi hasa km wanawake ambapo yy ni waziri wa wizara hiyo....! Yaani huku sio kufikiri kwa masaburi bali kwa disabled saburi moja....... !!!
 
Tutawahukumu mwaka 2015. Hii hoja ya katiba ni moto na ndio maana watu wenye busara ccm wamekaa kimya.Mtu kama Sitta au Lowassa hawawezi kuzungumza wanajua hoja hii itakugharimu sana baadae
 
Najua bungeni hawezi kufuta kauli yake ila tunamtaka aje huku haraka aueleze umma nani waliomtuma kuunga mkono sheria hyo ya muswada wa katiba la cvyo Karagwe ataiona chungu miaka yote ya uwakilishi wake.
Nimeongea na watu wengi wa Karagwe kuhusu kauli aliyosema bungeni mbunge wa Karagwe Blandes kuwa wananchi wa Karagwe wamemtuma kuwa wanakubali muswada wa tume ya katiba uliopo bingeni upite kama ulivyo, nao wamesema hawajawahi kumtuma chochote juu ya suala zima la katiba mpya.
Tangu mjadala wa mchakato wa katiba uanze wananchi wa Karagwe hawajawahi kuulizwa maoni yao na walikuwa wanamsuburi huyo mbunge awaeleze kama wao ni sehemu ya Tanzania au la kwa maana mwezi april muswada ulijadiliwa dsm, dodoma, na zanzibar kana kwamba tanzania nzima ni maeneo hayo matatu tu!
Wakati wanasubiri aje kujibu hoja hizo alishindwa kufanya hivyo kwa kusingizia eti hatakuwa na muda kwa sababu ya kuwa kwenye kamati ya bunge juu ya sakata la Jairo. Hivyo hakuzungumza na wananchi hao juu ya katiba.
Tangu hapo hajawahi kuja kuzumgumza na wananchi; wananchi wanasema hivyo kwa sababu pale alipokusudia kuja redio za wananchi (Radio Karagwe na Radio Fadeco) zilitumika kuwatangazia ujio wake na ratiba kamili, na tangia hapo hawajawahi tangaziwa kuwa mbunge atafanya ziara yoyote, hadi muswada ukapelekwa bungeni kusomwa kwa mara ya pili.
Kwa hiyo wananchi wa Karagwe hawajawahi kujadili muswada huo na mbunge wao, na wala hawajawahi kumtuma akubali muswada wa sasa.
Tunamtaka Blandes afute kauli yake haraka iwezekanavyo kwa amesema uongo bungeni na amewasingizia wanachi wa Karagwe mambo ambayo hawajafanya. Kama hataki kufuta kauli yake na kuwaomba msamaha wananchi hao, basi athibitishe ni kikao gani cha wananchi kilichokaa kuzungumzia katiba na kikaazimia kumtuma akubali muswada.
Great thinkers, suala la katiba si sawa na suala na barabara au maji au umeme ambalo mbunge anaweza tu kusema wananchi wangu wanataka.......!
Kwa kuwa najua Blandes hatafuta kauli yake kutokana na jeuri ya ccm, naomba mwongozo wa hatua za kisheria kumshtaki mbunge huyu, kumkataa ili uitishwe uchaguzi mwingine.
 
Blandes MP heshima kwako,

Mimi naishi ktk kijiji cha NYAKAKIKA, tarafa ya NYABIONZA ktk jimbo la KARAGWE.

Naomba nisimame kwa niaba ya wananchi wa kata, tarafa pia Jimbo langu kua hayo uliyoyazungumza leo bungeni ni ya KWAKO binafsi na CCM yako.

Ni lini ulipita jimboni kukusanya maoni juu ya rasimu ya katiba? Wacha Uongo na huo ni Unafiki kuwa eti wananchi wako wa KARAGWE wamekutuma, labda familia yako ndo imekutuma.

Umetudhalilisha sana kuwa sisi hatuna akili kama wewe na CCM yako.

Naomba kuwaambia wana JF kuwa sisi KARAGWE hatujamtuma kama alivyosema yeye.

pole sana mkuu miana siasa yetu ndivyo ilivyo uongo uongo tu bila sababu yoyote..
 
tena huyo jamaa mwizi,na mchakachuaji wa kura,alicheza mbinu chafu hadi kupelekea kufungiwa kwa redio station moja maarufu kama karagwe fm.hawa majambazi wana mwisho.
 
Hovyooo. Blandes msomi wa sheria aliyedumaa akili na sasa ni mtu wa kujipendekeza kwa vilaza wenzie ili sahani yake ijae. Hana jipya.
 
Back
Top Bottom