BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mkuu kama hujui kitu uliza ili ufafanuliwe badala ya kukurupuka.
watanzania wenyewe hawafiki million 82,![]()
watanzania wenyewe hawafiki million 82,![]()
Hapo jamaa anajisikia vibaya mno.... Nina kama siku tatu sijamuona kwenye TVtundu kamfunika baba j kwa umaarufu anatamani afungie vypmbo vyote vya habari,
Yule dkt Alcoholic Dadaaa wa Uganda kapotea sana kwenye vyombo vya habari hatakuwa anamuwaza Jembe wa SingidaHuyo Tundu Lisu tangu jana ameufyata. Sijamsikia akirudia tena vile vijimaneno vyake.
Lakini Tundu Lisu kwa sasa ameufyata mkia na harudii tena vile vijimaneno vyake. Nidhamu inamrudia.Yule dkt Alcoholic Dadaaa wa Uganda kapotea sana kwenye vyombo vya habari hatakuwa anamuwaza Jembe wa Singida
Sasa angeongea saa ngapi wakati wametoka mahakamani saa tatu,Lakini Tundu Lisu kwa sasa ameufyata mkia na harudii tena vile vijimaneno vyake. Nidhamu inamrudia.
Yameishapita masaa hadi sasa.Sasa angeongea saa ngapi wakati wametoka mahakamani saa tatu,
Kwanza kwa alichowafanya mawakili wa jamuhuri na yule uchwara., hawatakuja kusahau.... Huu ni ujasiri aliohuonyesha na lazima ataongeaYameishapita masaa hadi sasa.
Hayo ni maoni yako.Kwanza kwa alichowafanya mawakili wa jamuhuri na yule uchwara., hawatakuja kusahau.... Huu ni ujasiri aliohuonyesha na lazima ataongea
Na ndio ukweli wenyewe mkuuHayo ni maoni yako.
Endelea.Na ndio ukweli wenyewe mkuu
Hata Kwa Takwimu Za JF, Tundu Lissu Ametajwa Kumshinda Hata Mkulu Katika Thread Kibao
mkuu sijakurupuka hebu waweke source ya hizo hits millioni 82,Mkuu kama hujui kitu uliza ili ufafanuliwe badala ya kukurupuka.