Google pixel 5a 5g

Huyu SI yule njiwa wa flow yupo Twitter
 
Kweli unakurupuka shekhe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shule muhimu sana ebu kakojoe ukalale huko aje mwingine ambae anaelewa namaanisha mimi
Wewe picha zako ni chenga hakuna picha hapo watu hawaonekani hao mipicha gani hio unajitia aibu tupu mchana huu, sasa picha gani za kujishindanisha na pixel hizo yaan picha zimejaa ukungu watu hawaonekani vizuri eti unajisifia una camera wewe wa wapi?



Ukungu mtupu haipo clear

 
Ivi unafaham sababu iphone simu zao hazishuki thamani na unapoichoka unaweza fanya top up na simu yoyote Ile.

Kwanza ni simu ambazo hazina muda ni 2009 tu ndio walitoa Toleo la kwanza so series zao SI nyingi tofaut na Samsung Wana series zaidi ya 64 Hadi Sasa...


Pia apple simu zao ziko branded kwa muda mrefu katika masoko Yao na hawatoi toi miendelezo kiholela kama Samsung labda niseme Hawana series tofaut tofaut mfano Samsung Wana ,S,note, J,A,M,series na zinginezo sijazitaja ukiitaji kuziona ingia GSMARENA zipo.
 
Pixel kwenye kamera ni hatari
mtajua wenyewe
pixel ya 300k kwenye kamera inashindana na i phone 11 hutaki tunaleta ushahidi hapa
Iphone 11 walibuki Ile ni 7+ ilio changamka Ila ukiniwekea 11 na xs nachukua xs kwanza ugonjwa wangu mkuu wa simu iwe na display kaliii Yani AMOLED,OLED,p oled nna Bora nibaki na kitochi kuliko kutumia simu yenye LCD display
 

Hapa nipo pamoja nawewe ndugu iphone ni brand ila ukiitaji simu android ni best [emoji1488]
 
Ebana zinapatikana wapi izo hapa dar
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inaonekana hutumie pixel 6 pro ndomaana huwezi elewa namaanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…