Google pixel 5a 5g

Kwenye performance ya simu kiujumla iPhone yupo juu anafata Samsung one plus xiaomi halafu pixel ila kama ni kwa upande wa kamera tu pixel juu ya hao wote ni moto wa kuotea mbali na ile artificial intellegent yao ni moto sika japo kwa kuazima pixel 6 pro utaikubali sana
 
Pixel 5A ni midrange huwezi ifananisha na Highend kama Iphone ama Samsung S series etc.

Highend ya Pixel ni kama Pixel 6 pro ama 7 pro.

Nimejibu tu comment yako sijasoma comment za nyuma zinahusu nini.
 
Enyi wataalamu nieleze I tofauti ya android na pixel
 
[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf ina watu jaman, nimecheka sana daah...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwenye kila uzi hawakosagi watu kama hao.
 
Hizo simu naziuza boss, primary situmii cause kila nayoshika naipiga bei, brand zingine ni kujaza megapixel kwenye Camera na Ram nyingi, Ila efficiency still ni changamoto, iPhone simu zao ni quality Sana, mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni.
Hata iphone nae anapandisha hizo RAM, Camera na Storage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…