MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,076
- 3,559
Nilitegemea mkuu ungesema nimefanya innovation km hio Pix ningekusifia sn lkn km bado tunasifia vya wamerekani/wachina sisi bado sana.Achana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel halafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleee
View attachment 2380916View attachment 2380917
Tupigie hiyo kali ya iphone na sisi tutakupigia ya pixel ubishi utakuwa umeisha
weweIvi samahani lakini kwakuuliza uliekewa nilivyokwambia tafuta google pixel 6 pro na huawei p40 pro mkononi mwako ndoutajua ubora wa telephoto kwenye kila simu nilikuwa namaana huwezi kushindanisha ubora wa picha simu kwakupitia subject ambazo hazilingani shekhe hapa hatubishani tunaelekezana tu ila kama unataka ubishi mimi siwezi
Haya mambo mbona hata wakina infinix wanayawezaKinachowezekana leo kisingoje? Kesho wahenga wanamaana sana View attachment 2394533
View attachment 2394534
iPhone ni simu nzuri mno Kwa muundo wake hardware mpaka software lakini pixel ni mwisho WA matatizoDuh Iphone 13 inachuana na pixel 6? Sema pixel 6 imenishawishi bei inacheza kama 1.2M
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo picture za mchongo iPhone mwenyewe anajua kabisa pixel ni Moto kwenye photographic sema ndo vile anaongoza sokoPixel 6 pro is better than iphone 13 . Narudia tena in today's world of smart phones watu wanataka
1. Good quality camera (its all about pictures)
2. Simplicity (no limits)
3. Design (look)
4. RAM
5. Battery life
Kwenye hayo maeneo hapo juu ni kipi iphone 13 wamemshinda google pixel 6 pro? hakunaView attachment 2393979
huyo ana infinix
Haya mambo mbona hata wakina infinix wanayawezaView attachment 2394900View attachment 2394901
iPhone ni simu nzuri mno Kwa muundo wake hardware mpaka software lakini pixel ni mwisho WA matatizo
Ukihitaji picture Google pixel is here [emoji91][emoji991]
Kama una simu ya android na Ina camera Kali download Gcam hii ndio kiboko
Mwisho wa siku wee tumia hizo mi ntatumia pixel nishatumia iphone 11 nimeshika na 21 ultra kidogo lakini kwangu bado pixel ni simu nzuri, naitumia vilivyo kutangaza product zangu kwa picha kali, superb video making and editing (kama movie), Battery life makes my life easier, refresh rate, storage etc in short nahisi naitumia sana pixel kuliko iphone, so this makes pixel perfect to meShekhe narudia tena tafuta simu mkononi kwako alafu uzifanyie review achana nahao
Duuh ukizoom in hizo picha zina ukungu siwezi kukucheka kwa sababu ni natumia itel smartphoneKinachowezekana leo kisingoje? Kesho wahenga wanamaana sana View attachment 2394533
View attachment 2394534
Kumbe na wewe umeona mzee zina ukungu hizo pichaWewe picha zako ni chenga hakuna picha hapo watu hawaonekani hao mipicha gani hio unajitia aibu tupu mchana huu, sasa picha gani za kujishindanisha na pixel hizo yaan picha zimejaa ukungu watu hawaonekani vizuri eti unajisifia una camera wewe wa wapi?
View attachment 2394539
Ukungu mtupu haipo clear
View attachment 2394542