Habari, wanaIT nimeona threads nying humu ndani watu wanasema google adsense ni ngumu kupata, mbona mimi nimepata kirahisi tu nilivyofata masharti yao na wamenipa. Kwanza waliniambia itakuwa blank then after on day waka activate na sasa yanaonekana.
Cheki hapa: uwamini maneno yangu:
Afyazone - Ask experts about your health ujionee kwa macho yako.