Una hangover bado... kakae nae kwenye friji lugaloWaafrika wanamuongelea Dr John Pombe Magufuli.
Waafrika wanapata uhuru wa kweli kupitia kifo cha Rais Magufuli.
Waafrika wanatolewa usingizini na kupata hamasa za ukombozi...
Waafrika wanajifunza ukweli wa maisha duniani.
Ila Mungu ni mwema na hudumu milele. Ni msemo tu baada mtu aaminiwaye kuwa ni mwema anapotoweka. Kiukweli chema ndicho hudumu na kibaya huoza. Siku zote mwanadamu hupambana kulinda kilicho chema.chema hakidumu walisema wahenga!
Ingia ndani ya jokofunipo lugalo
Hahahahahaha sikupatii picha ulivyolowa hahahahaha ndo maisha ndugu kung'uta vumbi uanze upyanimeishi kwenye jokofu
Hakika !Yaani hawa nyani kwa ushenzi walioufanya 2020 ningemshangaa Mungu haya yasingetokea...
Mungu hadhiakiwi.
longer than who?Good people never live longer
Mpeni break jamani kachanganyikiwalonger than who ?