mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 772
tatizo cku izi mnanjiangalia sanaa......life is all abt taking risks nasema kila cku ..do ur part the rest is secondary
if ur not the husband/wife...how can u tell the qualities of the husbands/wives??!! and before one gets married u have to make sure ur content with ur future lifemate.....
Inawezekana sipo sahihi kwa uelewa wangu. lakini nachojua ni kuwa waTZ wakitoka mara nyingi hupata shida kuanza, ila bahati nzuri sisi tunajifunza haraka, kwa hiyo wengi baada ya miezi kadhaa wanakuwa huru kujichanganya.Hauko sahihi, mimi nimeishi kwenye nchi zinazotumia kingereza tu, ukweli ni kinyume na unavyoelewa.
Kwa uelewa wangu, lugha yenye manufaa inategemea na mhusika. Kwa mfano, anayetoka kwa lengo la kufanya biashara, anatafuta kueleweka tu, hata kwa nia ngumu..ili mradi aeleweke na afanye biashara, lakini kwa anyeenda ughaibuni kuishi kwa kusoma au kufanya kazi, lugha ni muhimu sana, tena sio broken, ila uelewa wa ufasaha ili kazi ifanyike kwa ufasaha. So inategemea na nini kimekupeleka huko.Kingereza chenye manufaa ni cha mawasiliano bila kujari ni broken au lah.
Naamini hivyo pia, wengi wetu tunaandika lakini kuongea ni ishu. Kwa vile huko mashuleni tulikuwa waoga kuongea mbele za watu, ukizingatia wengi tumesoma shule za kawaida sana.Maajabu ya kingereza huyu wtoa mada kwa mfano anaweza kushindwa kuongea kingereza na mzungu lakini anajuwa kusoma kiufasaha kingereza na kuandika na hao ndio wamejaa JF kazi kuangalia umekosea wapi spelling wakukosoe wakati yeye na wewe mkiwekwa mdahalo kwa kingereza ni lazima atafute chochoro.
Basi unaweza ukawa mzuri kwenye kuongea kuliko kuandika kwa ufasaha...wengi wapo hivyoMimi binafsi kingereza cha kuongea sikujulia shuleni bali katika nchi nilizoishi, shuleni nilijuwa kusoma na kuandika tu.
Harsh judgement...!wanaume wengi nowdays they are pretenders
so sometimes tunaingia chaka kwa kweli
only god knows which is which!
If that has been the case ,Why married she/he cheats(michepuko),get children out of their marriage,abandoned their families etc
nimeelewa, tatizo kujibu kwa kingreza sasa!!
To mention few,commitment of fidelity,being selfless,faithful,hard work ,share life goals,respect for human life,confident etc
Inawezekana sipo sahihi kwa uelewa wangu. lakini nachojua ni kuwa waTZ wakitoka mara nyingi hupata shida kuanza, ila bahati nzuri sisi tunajifunza haraka, kwa hiyo wengi baada ya miezi kadhaa wanakuwa huru kujichanganya.
Kwa uelewa wangu, lugha yenye manufaa inategemea na mhusika. Kwa mfano, anayetoka kwa lengo la kufanya biashara, anatafuta kueleweka tu, hata kwa nia ngumu..ili mradi aeleweke na afanye biashara, lakini kwa anyeenda ughaibuni kuishi kwa kusoma au kufanya kazi, lugha ni muhimu sana, tena sio broken, ila uelewa wa ufasaha ili kazi ifanyike kwa ufasaha. So inategemea na nini kimekupeleka huko.
Naamini hivyo pia, wengi wetu tunaandika lakini kuongea ni ishu. Kwa vile huko mashuleni tulikuwa waoga kuongea mbele za watu, ukizingatia wengi tumesoma shule za kawaida sana.
Basi unaweza ukawa mzuri kwenye kuongea kuliko kuandika kwa ufasaha...wengi wapo hivyo
kitambo tu nilishaamua mm kuoa hapana achana na wale bado niponipo kwanza....mm nina maadili yangu niliyoyajenga kwa misingi yangu, siwezi kuungana na mtu halafu aje abomoe nilichokijenga...dunia hii imekuwa ya kuviziana tu...eti demu alikuwa hakuzii wala hana mpango na ww kabisa lakini akiona uchumi wako unaimarika anaanza kujivutavuta....narudia tena sina mpango wa kufuga JOKA nyumbani kwangu.
people,life,situations can change......u can not guarantee what will happen in the next hour/day/month/year
I always visit here in jf and watch others member post and comments,very seldom i take out my time to write my own post.
Today i would like to share with u guys how hard has it become for ladies to get good husband,if u look at the trend and the direction we are heading to, apparent the number of husband material is drastical falling, not to forget that population increase prove one fact that the number of female is higher than male, in the past i used to witness a lots of marriage in my community per annum, the same is not true nowadays,based on my understanding i will attempt to explain why a good husband material is hard to find in this generation,and why most of men not prefer to marry and end up in cohabitation or gather children from different mothers if not one and raise as a single parent and vice versa.
Why a husband material is hard to find nowadays things have completely changed, globalization came in with a lot of effects.
Those effects are very visible to youth,let take a look at youth's life style, the number of gays increase at the increasing rate, the number of youth addicted to drugs and alcohol is almost at it's best.
The generation of hard workers is coming to an end, nowadays youth want to do little and get a lot in shortrun, most of youth prefer relation with aged women in return for something(marioo style), very few boys keep themself okay to one day take on as the head of the family.
Good husband material is hard to find since the number of female is higher than us, female are ought to pick the best male who will surely meet her expectations.
For us men we are also going through a lot of difficulties in searching for wives,my interest today was to focus on female.
I STAND TO BE CORRECTED
Harsh judgement...!
Try using gogle translate
kitambo tu nilishaamua mm kuoa hapana achana na wale bado niponipo kwanza....mm nina maadili yangu niliyoyajenga kwa misingi yangu, siwezi kuungana na mtu halafu aje abomoe nilichokijenga...dunia hii imekuwa ya kuviziana tu...eti demu alikuwa hakuzii wala hana mpango na ww kabisa lakini akiona uchumi wako unaimarika anaanza kujivutavuta....narudia tena sina mpango wa kufuga JOKA nyumbani kwangu.
Try using gogle translate
its not like that budy
hata wanawake wapo pretenders so
ndoa asa hv its like gambling!