Good husband is hard to find nowdays

Good husband is hard to find nowdays

Ndio tatizo lenu hili huwa amuangalii kesho.

Sisi wanaume huwa tunawasanifu tukiona wanawake wanajali pesa kuliko materials aliyonayo kichwani mwanaume.

Nikuibie tu siri wanaume wajanjawajanja wapigaji misheni town huwa tunawajuwa mpaka mwisho wao kwamba huyu atatamba wee mjini lakini miaka miwili mingi ni lazima afurie na mapenzi yanaishia hapo.

Siku zote mtu aliyeinvest kwenye brain na maarifa hata akiwa hayuko vizuri ni lazima atatoka kimaisha, tatizo siku hizi hamtaki kuanza moja na mwanaume mtafute wote maisha.

Nb: bandiko langu halina uhusiano na aliyetoa offer ya vocha.

mmmh shem! wanaume kizungumkuti. mambo yakuanza from zero sijui -ve hapana. mnaanza wote mambo yakinyooka unawekwa kando raha anakula mwingine.
 
Ndio tatizo lenu hili huwa amuangalii kesho.

Sisi wanaume huwa tunawasanifu tukiona wanawake wanajali pesa kuliko materials aliyonayo kichwani mwanaume.

Nikuibie tu siri wanaume wajanjawajanja wapigaji misheni town huwa tunawajuwa mpaka mwisho wao kwamba huyu atatamba wee mjini lakini miaka miwili mingi ni lazima afurie na mapenzi yanaishia hapo.

Siku zote mtu aliyeinvest kwenye brain na maarifa hata akiwa hayuko vizuri ni lazima atatoka kimaisha, tatizo siku hizi hamtaki kuanza moja na mwanaume mtafute wote maisha.

Nb: bandiko langu halina uhusiano na aliyetoa offer ya vocha.
oraita...noted with thanks
 
mmmh shem! wanaume kizungumkuti. mambo yakuanza from zero sijui -ve hapana. mnaanza wote mambo yakinyooka unawekwa kando raha anakula mwingine.
hapo chacha utatoa jasho la kwapa kuchuma juani saa ya kivulin unaundiwa zengwe unatupwa kule..
 
hapo chacha utatoa jasho la kwapa kuchuma juani saa ya kivulin unaundiwa zengwe unatupwa kule..

tena hao wasio na kitu ndio tuwaogope kama ukoma maana tabia zao halisi zinakuwa hazijajionesa bado.
 
Hii mada kwa kweli imenifurahisha, binafsi nazani tatizo la upungufu wa husband material linatokana na parenting. Watoto wanajifunza sana kwa kuangalia kuliko kwa kuambiwa. Picha linaanzia home mdingi daily yupo bize hana muda wa kuongea na kuspend na watoto either wa kike au wa kiume, unategemea mtoto atajifunza how to be a man kutoka kwa nani,you guessed it,TV na peers wenzake.na kama unavyojua asilimia kubwa ya stuff kwenye TV aint healthy for your child's mind. Nawaomba mababa wote vijana muwekeze muda kwa watoto wenu na muwe mfano mzuri, mtoto wa kiume anajifunza how to treat ladies kwa jinsi we dingi unavyomtreat maza,baba mfundishe kijana kuwa responsible mapema na kuhudumia familia yake. kumbuka the apple doesn't fall far from the tree.na we judge a tree by its fruits.
 
that the truth pal but girls nowdays they are not behave like they want to be the real wives,,,the number of changu's in dsm,dodoma,mwanza,arusha and moshi is shocking,,,honestly i will never ever dig my own cemetry by marrying a 21st c girl.

Lolest....
 
Mkuu najua ni mwanaume but ndo hivo wanaume wenyewe wameamua kutetea wanawake kuanzia wiki iliyopita yote inahusu wanaume tu

hahaaaa
Kwa hiyo Viol na watu8 nyie mwataka thread za kuwasema wadada tuuuu.
hahaaaaaa!
 
sure thing man..... i have a friend just y`day she told me she found out her hubby is gay n she stayed away coz he use to demand 0712 and he is well off and successful person... much worse is, its just 1 year since they got married and she wants a divorce as soon as by yesterday ......... tell me now, where can we find good hubby materialll... men talk to me pliz:angry::A S 109::hail::hail: and GOD help us.

God have Mercy!
 
Economic hardship may explain to some extent why men prefer older women as opposed to their age mates. Unemployment is at an alarming rate.

Not much of Real Love out there.
 
that the truth pal but girls nowdays they are not behave like they want to be the real wives,,,the number of changu's in dsm,dodoma,mwanza,arusha and moshi is shocking,,,honestly i will never ever dig my own cemetry by marrying a 21st c girl.

Leo kazi ipo kweli. Kidhungu si mchezo
 
First of all, what's your definition of GOOD HUSBAND in your own words?
 
wanaume woote ni bora inategemea tu na huyo mwanamke anajiheshemu kiasi gani
 
Are you worth it for a real husband? That's the qn. Bcoz its hard to find something of wit u ar not worth it.
 
Back
Top Bottom