Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Yawezekana ulikuwa na hoja, ila ukachanganya na upupu ndani. Kilichotoka ni upumbavu na ujinga.Accacia ndio katuletea matatizo na kuibiwa wote wawili watanzania na barrick. Barrick kumwambia accacia alipe hizo dola milioni 300 ni kumwbia live yaani wewe bwege accacia ulikula hadi kodi za serikali? Lipa halafu mengine tutamalizana mimi na wewe yanayohusu ulichoniibia mimi barrick. Accacia alikuwa akiiba kote anasafirisha kontaine mfano 20 kwetu analaghai kasafirisha nane akifika kwa barrick anawadanganya kuwa kasafirisha kumi yaliyozidi anapeleka nchi nyingine pesa anaweka kibindoni. Ndio maana barrick waliungana na magufuli alipoitisha uhakiki wa kontaina zilizosafirisha na kilichomo Wakasema tuwe pamoja kwenye hili. Akina accacia wakaanza propaganda za kukwepa hilo ndio wakaanza kuhonga wanasiasa Kama Lisu Na chadema na akina Zitto kabwe kama ngome yao ya defence ya kuwalinda vibaka baada ya kuwaona kuwa wananunulika kirahisi kutokana na uchunguzi waliofanya waliogundua. Kila fisadi ni rahisi kununua mwanasiasa yeyote wa chadema Na kuwafanya watetezi wao. Awe fisadi au jambazi la kibiti laweza kuwahonga kesho likipigwa risasi chadema utakuta tayari wanaibuka kulaani jambazi la kibiti kujeruhiwa ukucha lakini polisi hata kumi wakiuawa husikii chadema Kutoa tamko hata pole kisa polisi hawajawapa rushwa Kama majambazi
Usifikirie kwa kutumia makalio