Gomba,! Gomba, gomba,! Jamani wala gomba......

Gomba,! Gomba, gomba,! Jamani wala gomba......

mi nasikia zinatofautiana bei kulingana na ubora, za upareni huko nasikia bei ndogo za kenya bei kubwa kg 1 sijui wanapima vip hiyo kg inarate 10,000/- mpka 12,000/- bei tu usihof msubiri Waheed Suday,Madame X, Kasumbaleza, na wengineo watakuambia
Kilo ya Giza aina ya Kolombo utaipata kwa bei ya 50,000 na Kichanga kimoja au Dharba moja ni buku 5 hadi 6......na hiyo ya Hedaru utaipata kwa shilingi 1000 ka kichanga kimoja ama kwa lugha ya Gomba inaitwa Dharba.....Pia kuna aina ingine inaitwa Rungu, hii inapatikana kwa shilingi 2000 kwa kichanga kimoja.
 
524281_360834353977419_100001525728048_1006564_263142349_n.jpg

Embassy ondoa, weka bange. Kilimanjaro Ondoa niwekee Ndovu ama Castle Lite. Hapo tuko sawa aisee SHERRIF ARPAIO
 
Last edited by a moderator:
Dah!! Ndugu zangu miraa inaua figo na nguvu za kiume!!!! Kie kie kie


Sent from my EyePhone
 
Dah!! Ndugu zangu miraa inaua figo na nguvu za kiume!!!! Kie kie kie

waambie tu maana nikisema mimi naambiwa naona wivu si figo tu mpaka bandama maini kila kitu cha ndani kinaathirika,lol
 
Gomba likiwa limeadimika sana mi sina makuu nachukua kataksima kangu nakapigilia kwa friji nakaanzisha tena kesho asubuhi.
 
Mi nikiishiwa na gomba na mida imeenda nachukua kataksima changu nakipigilia kwa friji nakaanzisha tena asubuhiii.
 
Back
Top Bottom