Gomba,! Gomba, gomba,! Jamani wala gomba......

Gomba,! Gomba, gomba,! Jamani wala gomba......

524281_360834353977419_100001525728048_1006564_263142349_n.jpg

Uki ongezea na kitu cha chuga, w/end inabaki kutafuta manzi tu.
 
Aim ni kukesha.

kumbe aim ni kukesha tu? sasa si bora mtu atupie maredbull tu, mateso yote hayo ya kusugua mashavu jaman ya nn sasa? mi nlijua kuna rizim nyingine kumbe wap!
 
Jamani raha ya hii kitu mtu asikwambie, karibuni hapa boda ya Namanga sisi twala bila tabu

Ndio nikashindwa kuelewa hata huu uhusiano wetu na Wakenya utatufikisha wapi. Nilipofika Mombasa mara ya kwanza 2006 nilidhani wanauza matembele ya Kikenya, kumbe mirungi. That means kule kwao sio kosa, ila hapa minimum 6yrs
 
kumbe aim ni kukesha tu? sasa si bora mtu atupie maredbull tu, mateso yote hayo ya kusugua mashavu jaman ya nn sasa? mi nlijua kuna rizim nyingine kumbe wap!
Redbull hata ninywe dozen usingizi napata kama kawaida. Ila gomba nawezakaa siku 3 macho
 
Ndio nikashindwa kuelewa hata huu uhusiano wetu na Wakenya utatufikisha wapi. Nilipofika Mombasa mara ya kwanza 2006 nilidhani wanauza matembele ya Kikenya, kumbe mirungi. That means kule kwao sio kosa, ila hapa minimum 6yrs

hapa thubutuuuu.....nenda taveta ndo utajua, imepangwa kwa mafungu kama mchicha kwenye magenge
 
wao wa nakula cha arusha ni bei rahisi ila gomba ni bei juu ukitoka gomba inafuata alubadili ya marabu kwa mzungu yani cocaine aka pouda..
 
muuzaji yup wa gomba ushamuona akiuza kistaarab? wengine huweka kwenye sox, sehem nyeti, kwenye maziwa kwa wanawake yaan vurugu tupu, tofaut na hapa tz kule kenya hasa taveta, huuzwa hadharani kama mbogamboga na hupangwa kwa mafungu

Inayotolewa kwenye pochi ya kike ni bala kwa handasi
 
Subiri mukuu Gang Chomba atakupasha
Swadaktaaaar nguli nimefika....Hii kitu ni Mujarab, na kuna Aya inasema ''KILA KITAMU MNACHOKILA DUNIANI BASI HUKU MBINGUNI MTAKIKUTA MARA MBILI ZAIDI YA HUKO''....Sipati picha hilo Gomba la mbinguni handas yake itakuwaje...
 
Back
Top Bottom