Mtu B
Wewe ndio bado uko usingizini kabisa naona hujui hata kinachoendelea wake up please kumekucha afadhali u qoute maneno ya Msekwa kuliko unavyosema movie hii ni tofauti na ya enzi za Mrema.
atapingaje ufisadi akiwa CCM ambamo kamati na Halmashauri kuu ambao kimsingi ni mabosi zake ktk chama wanaunga mkono ufisadi, halmashauri kuu ndio kabisaaa , mafisadi papa Ruundo.Mie kumsingi naamini Mpendazoe kachemsha. Ninazo sababu:-
- Alitakiwa kuupinga ufisadi akiwa ndani ya CCM. Nje ni kujimaliza kisiasa.
Wakati Mrema anatoka CCM hakuwa anajua atajiunga chama gani alikuwa anafuatwa na kila chama tofauti na huyu kwanza anaonekana hataki umaarufu kama wa Mrema halafu Mpendazoe inaonekana alijiandaa mapema kwenda CCJ hata baadhi ya watu walibashiri hivyo.Hii case inafanana na ya Mrema kabisa. Bahati mbaya kwa huyu bwana Mpendazoe ni kwamba hana hata 1% ya umaarufu na nguvu za kisiasa alizokuwa nazo Mrema wakati ule alipotoka CCM. Ndio maana nasema imekula kwake, amefulia, mark my words.
Besides, hiyo CCJ aliyoingia ndiyo itakayompoteza kabisa nje ya ulingo, maana haina hata sifa za kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu, na haitazipata kabla ya uchaguzi huu kwisha. Na hiyo CCJ itakapopata usajili wa kudumu mwaka kesho, Mpendazoe atakuwa ameshasahaulika! Amefulia.
Wakati Mrema anatoka CCM hakuwa anajua atajiunga chama gani alikuwa anafuatwa na kila chama tofauti na huyu kwanza anaonekana hataki umaarufu kama wa Mrema halafu Mpendazoe inaonekana alijiandaa mapema kwenda CCJ hata baadhi ya watu walibashiri hivyo.
Wakati Mrema anatoka CCM hakuwa anajua atajiunga chama gani alikuwa anafuatwa na kila chama tofauti na huyu kwanza anaonekana hataki umaarufu kama wa Mrema halafu Mpendazoe inaonekana alijiandaa mapema kwenda CCJ hata baadhi ya watu walibashiri hivyo.
Ndiyo maana nikuambia bado umelala hujui kinachoendelea goli ni goli hata la mkono(maradona) ni goli yanayobaki ni maelezo ya hilo goli kama tunayojaribu ku speculate hapa hatashinda ubunge tena, labda alitaka kufukuzwa, CCJ is a hoax nkHataki umaarufu, kwa hiyo anataka nini? Kama hataki umaarufu mbona kaitisha mkutano wa waandishi wa habari kuwajuza kuhusu kuhama kwake? Umaarufu anautaka sana, na anataka agombee tena huko Kishapu. Ingekuwa hataki umaarufu, angesubiri muda wake uishe wa ubunge kipindi hiki, halafu asigombee, aende huko CCJ kimyakimya, habari tungezipata tu bila yeye kuitisha mkutano.
Sasa habari ya ubunge tena ndio asahau, maana hiyo CCJ itapata usajili wa kudumu baada ya uchaguzi mkuu, labda mwaka ujao au hata baadaye.
Amefulia
......
Sasa habari ya ubunge tena ndio asahau, maana hiyo CCJ itapata usajili wa kudumu baada ya uchaguzi mkuu, labda mwaka ujao au hata baadaye.
Amefulia
Wait a minute, kwani Mpendazoe kupoteza ubunge baada kuhamia CCJ na kwamba hatagombea ubunge ndio kufanya awe kafulia?
Ndiyo maana nikuambia bado umelala hujui kinachoendelea goli ni goli hata la mkono(maradona) ni goli yanayobaki ni maelezo ya hilo goli kama tunayojaribu ku speculate hapa hatashinda ubunge tena, labda alitaka kufukuzwa, CCJ is a hoax nk
Amefulia kwa sababu hicho anachodai anapigania hatafanikiwa katika hiyo CCJ. Na kwa style aliyotoka nayo, kajinyima kabisa ukumbi wa kuendeleza mapambano. Kwa hiyo amefulia
Hataki umaarufu, kwa hiyo anataka nini? Kama hataki umaarufu mbona kaitisha mkutano wa waandishi wa habari kuwajuza kuhusu kuhama kwake? Umaarufu anautaka sana, na anataka agombee tena huko Kishapu. Ingekuwa hataki umaarufu, angesubiri muda wake uishe wa ubunge kipindi hiki, halafu asigombee, aende huko CCJ kimyakimya, habari tungezipata tu bila yeye kuitisha mkutano.
Sasa habari ya ubunge tena ndio asahau, maana hiyo CCJ itapata usajili wa kudumu baada ya uchaguzi mkuu, labda mwaka ujao au hata baadaye.
Amefulia
Wameshasema eti hakuwahi kuongoza hata shina. Shem on them.
Hii case inafanana na ya Mrema kabisa. Bahati mbaya kwa huyu bwana Mpendazoe ni kwamba hana hata 1% ya umaarufu na nguvu za kisiasa alizokuwa nazo Mrema wakati ule alipotoka CCM. Ndio maana nasema imekula kwake, amefulia, mark my words.
Besides, hiyo CCJ aliyoingia ndiyo itakayompoteza kabisa nje ya ulingo, maana haina hata sifa za kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu, na haitazipata kabla ya uchaguzi huu kwisha. Na hiyo CCJ itakapopata usajili wa kudumu mwaka kesho, Mpendazoe atakuwa ameshasahaulika! Amefulia.