Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,407
- 1,434
Hii ni aibu kwa kipa nambari moja Tanzania kupigwa goli nyingi kiasi hiki... Kwasasa Manula hastahili kuwa kipa namba moja, aibu kwa taifa na clab.... Na akiendelea kuwa kipa namba moja pale Simba ujue kuna limkono la mtu!
The 🛑 🦁🦁🦁🦁🦁
#Nguvu Moya!
The 🛑 🦁🦁🦁🦁🦁
#Nguvu Moya!