Hivi saizi unakunja shilingi ngapi baada ya ongezekoMama Hana Deni🫵🏿😆
Dc wa Singida - Godwin Gondwe amesema kitendo cha Rais Samia kuadhimisha siku hii kubwa Singida na kujenga uwanja mkubwa kwa siku chache, wana Singida wanasema hawamdai chochote Rais Samia.
View attachment 3321874
RC nae anakubaliana na DC wake?.Dc wa Singida - Godwin Gondwe amesema kitendo cha Rais Samia kuadhimisha siku hii kubwa Singida na kujenga uwanja mkubwa kwa siku chache, wana Singida wanasema hawamdai chochote Rais Samia.
View attachment 3321874
Fitinaaa sanaa huyu Babu ....aliutaka RC kupitia Ummy kwa kufutinisha wakurugenzi wa Manispaa Dar......mbaya sana huyu Babu.....Dc wa Singida - Godwin Gondwe amesema kitendo cha Rais Samia kuadhimisha siku hii kubwa Singida na kujenga uwanja mkubwa kwa siku chache, wana Singida wanasema hawamdai chochote Rais Samia.
View attachment 3321874