winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,094
- 269
Kuna mamia ya Watanzania wakiwa na bendera za taifa letu ndani ya kanisa la SCOAN huko Lagos Nigeria.
Godwin Godwe pia yumo.Tunategemea Mungu awasimamie ktk kile kilichowapeleka.
Angalia Emanuel tv muone bendera za Tanzania zinavyopepea live ndani ya SCOAN.
check hapa www.emanuel.tv
Good move,yo yote anayemtegemea Mungu wetu hakika atapokea fungu lililo jema,