Kuna mamia ya Watanzania wakiwa na bendera za taifa letu ndani ya kanisa la SCOAN huko Lagos Nigeria.
Godwin Godwe pia yumo.Tunategemea Mungu awasimamie ktk kile kilichowapeleka.
Angalia Emanuel tv muone bendera za Tanzania zinavyopepea live ndani ya SCOAN.
.
Mzee wa upako naona alimdhibiti vilivyo huyo TbJ. Maana alivyoitabiria nchi majanga, mzee wa upako akamwambia kwamba amejileta mwenyewe kwenye 18 zake.
.
Mtu mwingine maarufu niliyemuona ni dada mmoja mtangazaji wa EATV simfahamu kwa jina.Inapendeza kuona bendera ya taifa lako ikionekana ktk tv inayofuatiliwa kuliko Channel yoyote ya Kikristo Duniani.
"I see a two storey house" T.B Joshua to Godwin Gondwe.
While shaking n trembling, "yes man of God, l have two houses" says Godwin Gondwe. Kabla hajaanguka wakati wa prayer line session.