Godbless Lema: Waziri Simbachawene, 'mortgage plan' kwa wafanyakazi wote wa Serikali ndiyo suluhu ya muda mrefu

Police unamlipa laki tano na nusu kwa mwezi, ana familia - mke na watoto watatu, mshahara hautoshi anakimbizana mabarabarani huko walau kufidia matumizi - Unaamua kumpa kiwanja - sasa hiyo hela ya kujengea aipate wapi? na je unategea ubora wa hiyo nyumba uweje?

Lema yupo sahihi, boresha maslahi yao kwanza kisha weka utaratibu wa rehani ( mortgage plan), hakuna njia nyingine yoyote ile ya kumfanya huyu askari aishi kwenye nyumba bora kuliko hii.

CCM hii ni homework kwenu mmepewa - kama kweli mna nia njema ya kuwasaidia hawa askari wetu ni lazima mtumie njia hii.
 
Hapa Lema ana point ya msingi, wajumuishe mpango was Wafanyakazi wote, maana hali zao baada ya kustaafu zinakuwa mbaya sana ukizingatia asili ya kazi zao kuwa Ni za kuhama Hama bila makazi ya kudumu kipindi Chao chote cha kazi.
Mortgage plans zinaendana na vipato, maana ni mikopo ile.

Mtu analipwa LAKI 3 kwa mwezi, pato lake kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 na mafao yake baada ya utumishi wa miaka 30 hafikishi 100M.

Sasa hiyo mortgage atailipa na nini ?
 
Ni Mawazo tu ya Lema, lakini ziko nchi nyingi Askari Wastaafu wanapewa eneo lao wanakaa kwa furaha na sio kwamba ni mkoa Mmoja nchi yetu ni kubwa wanaweza pewa kila mkoa

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Mtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Huu ni upumbavu. Jikite kwenye mada, anachosema kina maana sema kwa sababu ya siasa - unakifanya kuwa cha kitoto. Polisi sio wafanyakazi pekee wa umma. Swala la makazi lilipaswa kuwa la umma wa kitanzania kwa ujumla, katika msingi wa haki za binadamu (kula, kuvaa na kuwa na makazi). Anachokisema Lema ni kuwa swala la makazi ni swala la kila mtu - hata asiye na kazi ya umma.

By the way, hujui hata jografia ndogo tu?? Canada sio sehemu ya Ulaya.
 
Mortgage plans zinaendana na vipato, maana ni mikopo ile.

Mtu analipwa LAKI 3 kwa mwezi, pato lake kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 na mafao yake baada ya utumishi wa miaka 30 hafikishi 100M.

Sasa hiyo mortgage atailipa na nini ?
Sio ndio maana kawaambia waboreshe masilahi ya wafanyakazi au wewe huelewi?!
 
Ameandika hivi kupitia Twitter:

Waziri Simbachawene, kuwapatia Polisi viwanja vya ujenzi wa nyumba, utekelezaji wake ni mgumu. Muhimu ni kuongeza masilahi bora kwa Polisi na Serikali ije na mortgage plan kwa wafanya kazi wote,ili mtu aamue anataka kuishi/kustaafu wapi. Mortgage plan ya muda mrefu ndio solution

Hizo ni theory kutoka Canada, siyo?
 
Mtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Tumelijua hili siku nyingi ingawa yeye hataki kujieleza kiuwazi. Yaonekana hakuwa tayari kuishi nje ya siasa.
 
Huu ni upumbavu. Jikite kwenye mada, anachosema kina maana sema kwa sababu ya siasa - unakifanya kuwa cha kitoto. Polisi sio wafanyakazi pekee wa umma. Swala la makazi lilipaswa kuwa la umma wa kitanzania kwa ujumla, katika msingi wa haki za binadamu (kula, kuvaa na kuwa na makazi). Anachokisema Lema ni kuwa swala la makazi ni swala la kila mtu - hata asiye na kazi ya umma.

By the way, hujui hata jografia ndogo tu?? Canada sio sehemu ya Ulaya.
Asante kwa kumuelewa Lema kuliko wenzako. Una kipaji fulani vile!
 
haiwezekani mwanaume aliyekamilika akaolewa na mwanaume mwenziye kwahiyo yeye anapigwa na mkewe anapigwa na mzungu mwingine aibu
Ukiwa unapigwa usidhani na wenzio wanafanyiwa hivyo. Hiyo dhambi haitokuacha salama
 
nabii anaweza kuwa mke wa mtu?kaolewa huko halafu anakuja kutoa ushauri kwa wanaume? nafikiri aliandika hiyo twitter akiwa anaosha vyombo au kaukalia kabisa
Ningekuwa Moderator hii aina ya post isingekuwa na nafasi kabisa, wala nisingetoa mwanya kwa watu aina yako ku-post uchafu usioweza kuthibitishwa !!
 
Ameandika hivi kupitia Twitter:

Waziri Simbachawene, kuwapatia Polisi viwanja vya ujenzi wa nyumba, utekelezaji wake ni mgumu. Muhimu ni kuongeza masilahi bora kwa Polisi na Serikali ije na mortgage plan kwa wafanya kazi wote,ili mtu aamue anataka kuishi/kustaafu wapi. Mortgage plan ya muda mrefu ndio solution

Waziri yuko vizuri kwa hilo ili kuleta heshima kwa jeshi letu la polisi.
 
Hivyo viwanja vitaishia kuuzwa, Wkistaafu mpaka alipwe fedha yake inachikuwa muda mrefu kwanini asiuze
 
Back
Top Bottom