Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 677
- 690
Ushauri wa Lema hapana aisee hajawahi kuwa positive na serikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ambavyo mama yako huwa anaukalia?nabii anaweza kuwa mke wa mtu?kaolewa huko halafu anakuja kutoa ushauri kwa wanaume? nafikiri aliandika hiyo twitter akiwa anaosha vyombo au kaukalia kabisa
Firauni mpya Mjini.nabii anaweza kuwa mke wa mtu?kaolewa huko halafu anakuja kutoa ushauri kwa wanaume? nafikiri aliandika hiyo twitter akiwa anaosha vyombo au kaukalia kabisa
Wenzangu?? Dada wa kazi, i am a free mind - ninawaza peke yangu na sihitaji kulinganishwa wala kujilinganisha.Asante kwa kumuelewa Lema kuliko wenzako. Una kipaji fulani vile!
Usimtishe. Mpe uhuru wa kuongea kama wewe unavyotaka kupewa uhuru.Andika na kuwatukana sana ila Mungu huwa ni mwaminifu upandacho ndicho utakikuta kwenye kihenge
Asante kwa matusi yako ila maono yake ndio mnayoyaishi leo na CCM yenu, moja baada ya jingine mnalitekeleza vivyo hivyo taratibu mnamgeuka Mwanakwenda Zake MAGUFULI na LEGACY yake ya utawala wa KIDHALIMU na KUKURUPUKA ndio inazidi kujijenga na kuota mizizi, kadri kila siku mnazopindua mambo kumgeuka kinyume na yalivyokuwa matakwa yakeMtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Ameandika hivi kupitia Twitter:
Waziri Simbachawene, kuwapatia Polisi viwanja vya ujenzi wa nyumba, utekelezaji wake ni mgumu. Muhimu ni kuongeza masilahi bora kwa Polisi na Serikali ije na mortgage plan kwa wafanya kazi wote,ili mtu aamue anataka kuishi/kustaafu wapi. Mortgage plan ya muda mrefu ndio solution
Jinga wewe.Lema amekurupuka na kudandia hoja. Kama ilivyo kawaida yake ni mtu wa matukio, hawezi kuwa na hoja binafsi. Akiwa mbunge, hakuona umhimu wa kuboresha maslahi ya wafanyakazi?
Naamini Lema kaiokota huko aliko kwa kuwa haelezi hiyo "mortgage plan" ikoje na inatofautiana vipi na "pension scheme" ya hapa.
Jinga wewe.Kasikia neno MORTGAGE huko ukimbizini kaja kulingishia...
Unataka awe positive kivip?.Au wewe kwako huu ushauri alioutoa unauona hauna maana?.Ushauri wa Lema hapana aisee hajawahi kuwa positive na serikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndugai kishaambiwa ajiandaeAnaitwa Nabii Lema mpaka Ndugai anamuogopa
Jinga wewe.Mtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Asante kwa kumjibu huyo mjinga wa karne elitwege.Lema ameshauri jambo zuri na kwa upendo.Kwamba isiwe tu askari bali madaktari wanaomtibu jinga elitwege,walimu wanaomfundishia watoto wake elitwege wasiwe wajinga kama yeye, wauguzi etc wanatakiwa kupewa HAKI zao na MASLAHI wezeshi ili wamudu maisha na wafanye kazi vyema.Andika na kuwatukana sana ila Mungu huwa ni mwaminifu upandacho ndicho utakikuta kwenye kihenge
Hivi mataga huwa hakuna mwenye afadhaliKwa nini hataki kurudi Tanzania, si arudi tu na mme wake aje amtambulishe
Nadhani Lema yuko sawa kwa maana ya kupanua wiko kujadili hata kama mawazo yake pia hayatekelezeki kama alivyodai ya Waziri pia.Sio ndio maana kawaambia waboreshe masilahi ya wafanyakazi au wewe huelewi?!
Vp we unae lelewa na polepole unayo hadhi ya kuwashauri wa Tz? Tena danga lako sasa hivi lipo alostoMtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Ajiandae haswaNdugai kishaambiwa ajiandae