mansolata
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 503
- 317
Kwa povu hili itakua kaaribu kiwonder kimoja cha dawaKwa hiyo sisi tufanyeje wewe kilaza/kipunga.Kimbelembele chako tu kwani unajua kabisa mpaka sasa Aga Khan hawajaanza kupokea bima za NHIF
Kwa povu hili itakua kaaribu kiwonder kimoja cha dawaKwa hiyo sisi tufanyeje wewe kilaza/kipunga.Kimbelembele chako tu kwani unajua kabisa mpaka sasa Aga Khan hawajaanza kupokea bima za NHIF
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
Wiki iliyopita nlikuwa pale kutibiwa nkatoa kadi ya nhif nikaambiwa bado hawapokei ila wanapokea za wabunge peke yake...so kama kitu hujui uliza kwanza mkuuMbona nilisikia Aghakhan hawapokei hizo bima zamani sana!au Mh alikua hajui
Tunakagua viwonder aache kutuvurugaNaona kick hii ime-backfire.
Kama haujui kitu vizuri ni vema kuuliza upate maelezo ya kina toka kwa wahusika.
Sio kila jambo utapotosha ili upate sifa au umchafue mtu/taasisi fulani. Saa nyingine utajikuta unajichafua mwenyewe.
Kiongozi wabunge wanatibiwa na hiyo kadi isipokuwa watu wengine hawakubali...mm nlikwenda nkaambiwa maneno hayo so yupo sahihi lemaLema Muongo Muongo
Aghakhan hawakubali NHIF, Kama kweli kakataliwa ni kwa sababu hiyo sio mambo ya Fedha aende TMJ au Regency
Tatizo la wabongo kila kitu ni ushabikiWiki iliyopita nlikuwa pale kutibiwa nkatoa kadi ya nhif nikaambiwa bado hawapokei ila wanapokea za wabunge peke yake...so kama kitu hujui uliza kwanza mkuu
Kwani kakwambia alimpeleka mwanaeNAYE HUYU WAKATI MWNGINE ANALAMIMIKA LALAMIKA MPAKA KICHEFUCHEFU.MBUNGE MZIMA UNAYEPOKEA MIL KUMI KILA MWEZI UNAKUJA KUBANANA NA SISI KWENYE HUDUMA YA AFYA YA NHIF YA BUKU KUMI AU ELFU HAMSINI.YEYE ILE HOSPITALI WALIKUWA WANAGOMBEA KUIFUNGUA NA MKUU WA MKOA IPO WAPI ANGEENDA HUKO AKATIBIWE.KWANINI ASIKATE BIMA KUBWA YA AFYA
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
Ukaelezwa tatzo nnn?Hospitali nyingi tu hawataki NHIF, hawalipwi, yamenikuta hayo. Ukiwa na cash, Dawa ipoo
Hiyo ni branch acha kubwabwajaMbona hapa Dodoma hospitali ya Aghakani wamapokea bima?Acha kuwa muongo na mnafiki!
na hiyo ndio mbaya zaidi kama ni wa mwingine! siasa ya kulalamikalalamika bila ya kutoa solutions haina msaadaKwani kakwambia alimpeleka mwanae
ViwonderSiasa za kishamba kuna mtu amemwambia aitumie kama kiki na alivyoboya akaipandia hewani bila hata kufanya uchunguzi mdogo. Kama wanakubali nhif card
Ukimuuliza hata agakan ipo upande gani jijini hajui tanapa mmekosa hoja siku hizi mmekua wa bei rahisi kweli.
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
Lema Muongo Muongo
Aghakhan hawakubali NHIF, Kama kweli kakataliwa ni kwa sababu hiyo sio mambo ya Fedha aende TMJ au Regency
hshshhs natamani angekuwa ndugu yangu !aisee ningekuwa nalichambaa