johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema alifukuzwa bungeni kwa mwaka mzima kwa Sababu ya kutetea Haki na maslahi ya Alhaj Prof Assad
Lema kupitia ukurasa wake wa twitter anashangaa nini kimemkuta alhaj Prof Assad hadi kuubariki Mkataba wa TPA na DP World
Mungu awabariki wote!
Lema kupitia ukurasa wake wa twitter anashangaa nini kimemkuta alhaj Prof Assad hadi kuubariki Mkataba wa TPA na DP World
Mungu awabariki wote!