Uko sahihi.
Huyu dogo anasumbuliwa na uelewa mdogo na kupenda ushabiki wa kijinga.
Hajui ubunge ni wadhifa wenye heshma.
Bado ana mawazo yale yale aliyokuwa nayo alipokuwa CHALII.
Ni aibu kwa Bunge letu kuwa na mwakilishi kama yeye asiyependa kufuata sheria alizotunga.
Uko sahihi.
Huyu dogo anasumbuliwa na uelewa mdogo na kupenda ushabiki wa kijinga.
Hajui ubunge ni wadhifa wenye heshma.
Bado ana mawazo yale yale aliyokuwa nayo alipokuwa CHALII.
Ni aibu kwa Bunge letu kuwa na mwakilishi kama yeye asiyependa kufuata sheria alizotunga.
Lema ulipigika Arusha kutokana na wew kuonekana kinara wa zile vurugu...ukawekwa rumande bado haikutosha.......
Juzi mlikua Iringa baada ya mkutano....ukagoma panda gari eti wataka tembea kwa mguu ukiuza sura mpaka Lodge mlofikia......matokeo yake vija wahuni wakaanza maandamano nyuma yako...ikawa fujo na mshike shike iringa nzima hadi serikali ikaagiza mapolisi....kana kwamba ulianzisha maandamano......
Kama hayo yote hayatoshi umeenda alika wanachuo UDOM...eti waje fuatilia kwa kina ukumbi wa Pius Msekwa mjadala wa muswada.....kilichotokea ni Fujo....
TAFADHALI LEMA USITUFIKISHE MAHALA AMBAPO TAIFA HILI LENYE WASTAARABU HALIKO TAYARI KUFIKA (UMWAGAJI DAMU)
Wana JF..... LEMA ANAPENDA FUUUUJOOOOO....TUMKANYE.. AHSANTENI.
Lema ulipigika Arusha kutokana na wew kuonekana kinara wa zile vurugu...ukawekwa rumande bado haikutosha.......
Juzi mlikua Iringa baada ya mkutano....ukagoma panda gari eti wataka tembea kwa mguu ukiuza sura mpaka Lodge mlofikia......matokeo yake vija wahuni wakaanza maandamano nyuma yako...ikawa fujo na mshike shike iringa nzima hadi serikali ikaagiza mapolisi....kana kwamba ulianzisha maandamano......
Kama hayo yote hayatoshi umeenda alika wanachuo UDOM...eti waje fuatilia kwa kina ukumbi wa Pius Msekwa mjadala wa muswada.....kilichotokea ni Fujo....
TAFADHALI LEMA USITUFIKISHE MAHALA AMBAPO TAIFA HILI LENYE WASTAARABU HALIKO TAYARI KUFIKA (UMWAGAJI DAMU)
Wana JF..... LEMA ANAPENDA FUUUUJOOOOO....TUMKANYE.. AHSANTENI.
Tunataka Wabunge wa namna ya LEMA, Tungekuwa nao 26 tu wangetosha kuhamasisha maandamano nchi nzima na hapo ndio ungejua WaTZ tunataka nini.
I agree. Tanzania tungekuwa na wabunge 26 waliofeli mtihani wa Form 2 na tuhuma tele za utapeli kweli tungefika mbali.
Mbunge anayefosi wanafunzi waingie kwenye ukumbi ambao ushajaa, but plays to their emotions because he knows they are just kids.
nawewe utakuwa unapara miwa pia. Kids ?? Wanafunz wa vyuo??? Ume2mwa pia ndg yng. Hao wnye elim za 4m 4 c ndo wezi wakbwa wa raclmal za waTZ! Kaoge ulale, sawa mtt mzr eeh?
Lema ulipigika Arusha kutokana na wew kuonekana kinara wa zile vurugu...ukawekwa rumande bado haikutosha.......
Juzi mlikua Iringa baada ya mkutano....ukagoma panda gari eti wataka tembea kwa mguu ukiuza sura mpaka Lodge mlofikia......matokeo yake vija wahuni wakaanza maandamano nyuma yako...ikawa fujo na mshike shike iringa nzima hadi serikali ikaagiza mapolisi....kana kwamba ulianzisha maandamano......
Kama hayo yote hayatoshi umeenda alika wanachuo UDOM...eti waje fuatilia kwa kina ukumbi wa Pius Msekwa mjadala wa muswada.....kilichotokea ni Fujo....
TAFADHALI LEMA USITUFIKISHE MAHALA AMBAPO TAIFA HILI LENYE WASTAARABU HALIKO TAYARI KUFIKA (UMWAGAJI DAMU)
Wana JF..... LEMA ANAPENDA FUUUUJOOOOO....TUMKANYE.. AHSANTENI.
nawewe utakuwa unapara miwa pia.?
Lema ulipigika Arusha kutokana na wew kuonekana kinara wa zile vurugu...ukawekwa rumande bado haikutosha.......
Juzi mlikua Iringa baada ya mkutano....ukagoma panda gari eti wataka tembea kwa mguu ukiuza sura mpaka Lodge mlofikia......matokeo yake vija wahuni wakaanza maandamano nyuma yako...ikawa fujo na mshike shike iringa nzima hadi serikali ikaagiza mapolisi....kana kwamba ulianzisha maandamano......
Una upungufu wa uwezo wa kufikiri,nilidhani utamshukuru Mh Lema kwa uwezo wake wa kujenga hoja na kuwavuta watu,IRINGA umedai aliwavuta wahuni na UDOM ni wahuni pia?....Hivi hii nchi bado ni ya wastaarabu? Kama ingekuwa ni wastaarabu wangefanya yafuatayo...
Hebu tupe defination ya ustaarabu kulingana na uwezo wako wa kufikiri.....
- Ufisadi ni ustaarabu kwako?
- Mikataba mibovu inayotutesa mpaka sasa ni ustaarabu kwako?
- Kuchakachua uchaguzi ni ustaarabu kwako?
- wanapotaka kuchakachua Katiba mpya ni ustaarabu kwako?