Afu hawatuwekei data kama hzo za defao kutendwa ndivyo sivyo, wamekazana kuweka data za lema. Wambea na wenye wivu utawajua tu! Sijui wanalipwa sh ngapi hawa!Halafu kuna habari alimtenda sivyo Defao, yule mwanamuziki nguli wa Congo Drc.
Alikuwa,....... kumbe sio padri, asante sana kwa ufafanuzi mzuri. mungu akubaliki kwa kuwa mkweli na kweli itakuweka huru. sasa turudi kwa JK na Mattaka. tunaomba kujuwa huu ukaribu wao.Hata Slaa alikuwa padre siku hizi ana watoto
Usiwe na haraka nao hawa, mimi ndio nawaelewa vizuri muda si mrefu utaona hii thread wameikimbia wao wenyewe walioianzisha.Afu hawatuwekei data kama hzo za defao kutendwa ndivyo sivyo, wamekazana kuweka data za lema. Wambea na wenye wivu utawajua tu! Sijui wanalipwa sh ngapi hawa!
Hahaha!.. Nimecheka kwa raha zangu... Ubarikiwe.Alikuwa,....... kumbe sio padri, asante sana kwa ufafanuzi mzuri. mungu akubaliki kwa kuwa mkweli na kweli itakuweka huru. sasa turudi kwa JK na Mattaka. tunaomba kujuwa huu ukaribu wao.
Waooo! Nashukuru. Ubarikiwe tena na tena!Haya mchana huu nakupa offer ya Burrito kutoka Chipotle mexican Grill. coca utajinunulia mwenyewe.
View attachment 34764
Bora na wewe umeliona hilo.hii thread inaonesha wazi kuwa ina mahusiano na akili za jk
Mmhh! hizi offer za Matola i smell is in love. haya bana good luck.Waooo! Nashukuru. Ubarikiwe tena na tena!
Thanks mods wameziondoa, mbaya zaid napost via mobile, like hazipo nngekugongea za ukweli, usijali zangu nagonga kimoyo moyo na naiman zinakufikia...lolUsiwe na haraka nao hawa, mimi ndio nawaelewa vizuri muda si mrefu utaona hii thread wameikimbia wao wenyewe walioianzisha.
Sasa wewe hapo ndio umechangia nini? hauoni kama kuna swali hapo linakimbiwa? watu nao wanahoji kama ukiwa na ukaribu na mtu mwenye rekodi mbaya je nawewe unahusika na matendo hayo?Wakuu hapa naona watu hamtendei haki Ngongo.. yeye alichofanya ni kuleta data ambazo zinasemekana mtaani (ambazo hazijasibitishwa) sasa cha maana ni kumbishia na kusema kwamba asemayo sio ya kweli.... Haya mambo ya kwamba amekosa kazi, basi hata mnaomjibu mmekosa kazi...
Tukiendelea hivi watu watakuwa wanaogopa kuleta habari yoyote ile..., cha maana ni kubishia habari na sio kumshambulia mleta habari (after all sidhani kama kuna guindelines ya habari gani inapaswa kuletwa hapa)
Usijali! Nakukaribisha na wewe ila uje na coke yako. Si umeona mi najinunulia mwenyewe?..Mmhh! hizi offer za Matola i smell is in love. haya bana good luck.
JeyKey.
Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.
Massawe ni mwanachama na mfadhili wa sisiem, Lema ni mwanachama wa cdm na mbungeJe Kuna uhusiano gani kati ya Lema na MAssawe
watu wanaomjua lema wanasema ni rafiki wa Massawe
walifanya pamoja biashara tokea zamani
Jamani mwenye DATA zaidi atujuze
Hivi unajua ngongo ameshaleta mara ngapi habari za mtaani kumuhusu lema? Ukubali ukatae ngongo ana chuki binafsi na lema na hilo liko wazi kabisa ndugu yangu.Wakuu hapa naona watu hamtendei haki Ngongo.. yeye alichofanya ni kuleta data ambazo zinasemekana mtaani (ambazo hazijasibitishwa) sasa cha maana ni kumbishia na kusema kwamba asemayo sio ya kweli.... Haya mambo ya kwamba amekosa kazi, basi hata mnaomjibu mmekosa kazi...
Tukiendelea hivi watu watakuwa wanaogopa kuleta habari yoyote ile..., cha maana ni kubishia habari na sio kumshambulia mleta habari (after all sidhani kama kuna guindelines ya habari gani inapaswa kuletwa hapa)