Godbless Lema na Alex Massawe: Uhusiano kibashara

Status
Not open for further replies.

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Je Kuna uhusiano gani kati ya Lema na MAssawe
watu wanaomjua lema wanasema ni rafiki wa Massawe
walifanya pamoja biashara tokea zamani

Jamani mwenye DATA zaidi atujuze
 
Why now? EPA, Kagoda mmeshamaliza?

Hii haraka ya kumuunganisha Lema na uhalifu inatoka wapi? Massawe hata Kikwete mwenyewe kashindwa ku-prove beyond reasoble doubt kwamba ni mhalifu. Sasa mnataka kumuunganisha na Lema. Mlikuwa wapi muda wote huo? Na kwa nini hii haraka inakuja baada ya yeye Lema kuhoji kuachiwa kwa Zombe? Kuna nini hapa? Lema ni mbunge na waziri kivuli so you people should either shut up or put up!
 
ukisikia umbea wa ukubwani ndo kama huu sasa. Unataka ujuzwe ili iweje? Hao watu walokwambia si uende ukawaulize vizuri?

Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?

Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
 
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?

Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
Anayeulza ni police? Hizo data anataka azifanyie nini? Kuna hoja ya kudondosha kwa utaratibu hapa? Hoja zmeletwa kizombe, zombe afu unataka watu wapoteze muda kujadili majungu, mambo ya kujadili mbona yapo mengi sana? Wewe mwenyewe mmbea kama huyo mleta mada.
 
Ya nini kuwa na uhusiano na Lema,massawe ana uhusiano wa kibiashara na mama Anna mkapa
 
images
Lema(2).jpg
 
Je Kuna uhusiano gani kati ya Lema na MAssawe
watu wanaomjua lema wanasema ni rafiki wa Massawe
walifanya pamoja biashara tokea zamani

Jamani mwenye DATA zaidi atujuze

Kuna uhusiano gani kati ya hawa?

LAU MASHA NA RAY
JK NA LOWASSA
RA NA JK/LOWASSA
the list goes on n on n on
 
  • Thanks
Reactions: LAT
aiseee ccm imepatikana imeshikwa pabaya mno wala hawawezi kuchomoka kwa hoja hizi za chuki kwasababu tu eti kasema ukweli. ccm tafuteni vijana wenye uelewa wajuu kuwasaidia kujinasua kutoka hapo mlipo.
 
Pamoja na kwamba hatupendi, lakini si vibaya kama ana uhusiano nae, basi uwe uhusiano wenye umakini ili asije akaingia matatani
 
naona kama wanafanana

Je kuna uhusiano gani katika biashara zao huko nyuma?
Sasa hebu tuambie lengo lako haswa ni nini? Wewe kama hujatumwa basi utakuwa na matatizo ya akili. Na kama jinsia yako ni 'me' jiangalie vizuri manake unaelekea kubaya!
 
JeyKey.

Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.
 
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?

Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
Mkuu, hapa pana kitu kimetulia sana uhusiano wao ni muhimu maana hata yule Papa Msofe wa knd na .....................papa-mteketaabdul a.k.a mb-klomber...............there are comrade in arms!!!! kv. samakimionzi move????
Mombasa wasema, ASOHILI ANALILE, JAPO CHEMBE!!! uligwa?????
 
JeyKey.

Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.
So what????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom