Godbless Lema na Alex Massawe: Uhusiano kibashara

Godbless Lema na Alex Massawe: Uhusiano kibashara

Status
Not open for further replies.
Nachukia sana wana jf wanaopenda kutetea wana CDM kwa kutumia makosa ya wana CCM (and dont get me wrong sijasema kwamba Lema nijambazi). mleta mada ameuliza kama Lema amewahi kujihusisha na vitendo vya kijambazi kama ndio amewahi let us not justify matendo maovu ya CDM members kwa vile wana CCM nao wanafanya.

Tutawatambuaje kama wao pia sio wavaa magamba, tuache habari ya mbona JK alitoa ahadi, mbona JK ni rafiki wa fulani. CDM wako kuonyesha mapungufu ya viongozi walioko madarakani sio kuwaiga na kama mwana CDM ameharibu basi aambiwe ajirekebishe na kama hana mipango ya kando kiutendaji watu wasitafute majungu nakuharibu majina ya watu.
 
Nachukia sana wana jf wanaopenda kutetea wana CDM kwa kutumia makosa ya wana CCM (and dont get me wrong sijasema kwamba Lema nijambazi). mleta mada ameuliza kama Lema amewahi kujihusisha na vitendo vya kijambazi kama ndio amewahi let us not justify matendo maovu ya CDM members kwa vile wana CCM nao wanafanya.

Tutawatambuaje kama wao pia sio wavaa magamba, tuache habari ya mbona JK alitoa ahadi, mbona JK ni rafiki wa fulani. CDM wako kuonyesha mapungufu ya viongozi walioko madarakani sio kuwaiga na kama mwana CDM ameharibu basi aambiwe ajirekebishe na kama hana mipango ya kando kiutendaji watu wasitafute majungu nakuharibu majina ya watu.
Mimi nachukia zaidi mtu anaechangia topic ambapo hajui hata nini alichoandika kama wewe hata sijui umeandika nini hapa. crap bin pumba ushuzi mtupu.
 
Unawasaidia wakazi wa arusha na story za kuzusha? Huchoki tuu mkuu? Kila ukiona post ya kumuhusu lema, unaanza kutoa povu kama mtu mwenye kifafa. Umeshafaidika na nini toka uanze kumshambulia lema? Chuki binafsi zako huko, huko. Na kwa taarifa yako tushakusoma. Huna jipya. Afu kwa ushauri tu, ukiendelea na huo wivu wako wa kishamba utakufa masikini. Fanya kazi acha kufuatilia maisha ya lema. Hutaweza! Hutafika popote. Mshamba wewe!

Kwa wana JF Arusha kama kuna mtu ana muda awatembelee hao waliotaje na Ngongo the wamwage findings for it seems jamaa yuko confidant na anachoongea!!!
 

Kwa wana JF Arusha kama kuna mtu ana muda awatembelee hao waliotaje na Ngongo the wamwage findings for it seems jamaa yuko confidant na anachoongea!!!
kwa nini kupoteza muda kama yeye kashawaona si atuambie hayo ya Lema na Ujambazi kuliko kuzunguka familia ya flani mnaijuaaa.....,flani alikufaaaa....,flani anakaa kaloleniiii......
 

Kwa wana JF Arusha kama kuna mtu ana muda awatembelee hao waliotaje na Ngongo the wamwage findings for it seems jamaa yuko confidant na anachoongea!!!

Nalekea Arusha nitakuja na deep analysis ya hii kitu

Stay tuned
 
Lema alikuwa kijana wa kazi wa Alex tangu zamani, zombe anawajua vizuri. Kitu ambacho zombe alimfanyia lema miaka kadhaa iliyopita, ni aibu kusema na ndio maana lema amekurupuka bungeni bila kujua la kusema. Alichofanyiwa lema na huyu mheshimiwa ingekuwa ni zanzibar au tanga isingekuwa neno lakini kwa watani zangu wachagga, Ah!
 
Kama hutaki kukanyagwa usipande daladala, umesoma ya nini? sisi tunatoa majibu ya maswali yaliyoulizwa, kwani lema kufanywa ki zanzibar inakuhusu nini? hakuna aliemtuma akaibe!
 
Kama hutaki kukanyagwa usipande daladala, umesoma ya nini? sisi tunatoa majibu ya maswali yaliyoulizwa, kwani lema kufanywa ki zanzibar inakuhusu nini? hakuna aliemtuma akaibe!
Mattaka ni mwanachama wa ccm sasa anavyowafanya ndio maana mnadhani wote wanaliwa kama mboga kama unavyoliwa wewe.
 
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?

Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
...Mi nadhani uhusiano wao ni kuwa wote ni wachaga na wanapenda chapaa (pesa) wether zinapatikana kihalali kwa njia haramu.....
 
Kama hutaki kukanyagwa usipande daladala, umesoma ya nini? sisi tunatoa majibu ya maswali yaliyoulizwa, kwani lema kufanywa ki zanzibar inakuhusu nini? hakuna aliemtuma akaibe!

Sasa nakupa ukweli zaidi....lema, ndesamburo na mbowe wanajificha kwenye kichaka cha siasa ili wapate hifadhi! lema aliyoyafanya ni mengi na kilio kwa wengi, arusha, moshi, tanga na kadhalika. ndesamburo alivyofanya kabla hajakimbia serikalini anaejua ni nyerere, kawawa na mzee mtei na mbowe watoto wa watu walioathirika kwa madawa ya kulevya, wakiwemo wamerakenai na waingereza pale international school of Tanganyika dar es salaam ni histroria! ajabu wamarekani wanamwangalia mtu aliwaharibia watoto maisha akiwa kiongozi mkubwa kwenye serikali adilifu kama ya tanzania. magadafi wako wengi!
 
JeyKey.

Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.

Habari ndo hii kwa wale wote msoijua Arusha,hakika Lema analo na limemganda,lakini atumie mbinu zile zile za kijambazi kukwepa dola isimkamate...Zombe ana akili kuliko wengi humu JF,huwezi kumpuuza!!!
 
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?

Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.

Sasa kama jambazi si achukuliwe hatua, au!!!!!!!!!!
 
Habari ndo hii kwa wale wote msoijua Arusha,hakika Lema analo na limemganda,lakini atumie mbinu zile zile za kijambazi kukwepa dola isimkamate...Zombe ana akili kuliko wengi humu JF,huwezi kumpuuza!!!

Ndo maana aliweza kuepuka kitanzi?????????????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom