Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Mie sijui ila kiujumla sioni ubaya wa wao kuwa na uhusiano, wote ni wachaga yawezekana koo zao zinahusiana, wote walikuwa wafanyabiashara yawezekana walifanya biashara pamoja.Je Kuna uhusiano gani kati ya Lema na MAssawe
watu wanaomjua lema wanasema ni rafiki wa Massawe
walifanya pamoja biashara tokea zamani
Jamani mwenye DATA zaidi atujuze
Mahusiano na kila mtu na kila kitu yanawezekana, inategemea unayatumiaje. Ikiwa binadamu anatoa kinyesi ambacho hukiona ni uchafu na kukitafutia shimo mahususi ili asikione, ni huyohuyo binadamu hukipa jina zuri ili kiwe muafaka kwa matumizi, eti Mbolea, hatimaye hukitumia bila kuhoji.
Kwa hiyo rafiki, jambazi hajakatazwa kuungana na watu wengine kwenye maisha ya kijamii, si mara zote mahusiano yetu yanakuwa hayana mpaka. UPOZ