Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,480
- 37,756
Ningekuwa sijalishuhidia Mafinga ningesema kama wewe, lakini nimekutana na Katibu wa CCM analalamika amemwomba OCD amkamate mgombea wa Chadema siku anarudisha fomu kwa kesi ya mgogoro wa ardhi ili ashindwe kurudisha fomu lakini OCD amekataa.Kiki tu