Mkuu haya ni mabaki ya chadema, nilikuwa nasafisha ofisi leo nikaukuta huu uchafu.
Nimechoma moto nitakuletea picha hapa zikiungua kwa sababu zinasababisha uchafuzi wa mzingira
Lema ni tishio kubwa sana kwa uhai wa CCM na mafisadi kwa ujumla! Heko Lema, heko CHADEMA kwa harakati za ukombozi wa watanzania wote bila kujali dini, rangi wala kabila.