Godbless Lema astaafu siasa

Godbless Lema astaafu siasa

Hapana,lipo tangazo palela 23 July,limeelekezwa kwa CCM
 
Nimeona kama lipo tangazo Facebook kwamba Lema amestaafu siasa
Anayefahamu huhusu hili atueleze
ASIFANYE HIVYO. CHADEMA INAMHITAJI SANA. ASUBIRI SEKESEKE HILI LIISHE.
NAMLAUMU MBOWE KIUTELEKEA CHADEMA. SAWA LISU ALIMKASHIFU SANA, LAKINI FOR THE SAKE OF CHADEMA, ARUDI AFE NAYO
 
ASIFANYE HIVYO. CHADEMA INAMHITAJI SANA. ASUBIRI SEKESEKE HILI LIISHE.
nAMLAUMU mBOWE KIUTELEKEA CHADEMA. sAWA lISU ALIMKASHIFU SANA, LAKINI FOR THE SAKE OF CHADEMA, ARUDI AFE NAYO
Lema akitaka kustaafu siasa anaenda kuweka tangazo Facebook?
Huwa nakuonaga kwenye mijadala mikubwa, lakini napata shaka ya nafsi huenda una akili kiduchu.
 
ASIFANYE HIVYO. CHADEMA INAMHITAJI SANA. ASUBIRI SEKESEKE HILI LIISHE.
NAMLAUMU MBOWE KIUTELEKEA CHADEMA. SAWA LISU ALIMKASHIFU SANA, LAKINI FOR THE SAKE OF CHADEMA, ARUDI AFE NAYO

Abaki huko huko.
Tunahitaji damu mpya, wazee wabaki wabeba maono tu
 
Back
Top Bottom