Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,650
Reaction score
272,468
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

Screenshot_2025-07-03-22-45-11-1.png
Screenshot_2025-07-03-22-45-05-1.png
 
Hivi Lema ana shughuli gani ya kumuingizia kipato kwa sasa?
 
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

View attachment 3393147View attachment 3393148
Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
 
Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
Aliyekudanganya kwamba unaweza kutunyamazisha kakuchuuza kibwege sana! Tafuta kazi ccm imefika mwisho

Focus ya kuua watu haina nafasi tena kwenye Nchi yangu
 
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

View attachment 3393147View attachment 3393148

Wazanzibar wanampelekesha.

ACT walifanya kosa sana kumpa Osman Uwenyekiti. Kama Zanzibar walishapita No Election no Reform wao waendelee na uchahuxibhuko kwao wawachie ACT Wazalendo bara.

Hili swala la kulinda kura haiwezekani. Unless wanataka kusababisha vurugu siku ya uchaguzi. Hakuna mCCM atakayekubali kusacrifize nafasi yake unless huo mgao utokee huko juu kwa Maza.
 
Manyanza nimeona uzi wako wa kututaka kuchangia kwa heshima humu jf, ila sikuelewa lengo lako lilikuwa kututisha au kutuusia
 
Wazanzibar wanampelekesha.

ACT walifanya kosa sana kumpa Osman Uwenyekiti. Kama Zanzibar walishapita No Election no Reform wao waendelee na uchahuxibhuko kwao wawachie ACT Wazalendo bara.

Hili swala la kulinda kura haiwezekani. Unless wanataka kusababisha vurugu siku ya uchaguzi. Hakuna mCCM atakayekubali kusacrifize nafasi yake unless huo mgao utokee huko juu kwa Maza.
Usaliti wa Zitto wasisingiziwe Wazanzibar, Huyu ni mshirika wa JK wa miaka mingi sana
 
Hivi watu wa Kigoma wanapigania kitu gani? hebu Mkumbukeni Wallid Aman Kabouru.
Usiingize watu wote wa kigoma kwa kosa la MTU mmoja

Eliatonga Mrema alikuwa wa kigoma
John Mrema ni WA kigoma
Kuna mwingine pia wa huko anaweza kuingia kwenye hiyo list pia kama hatabadiki gia angani
 
Back
Top Bottom