mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,749
- 37,359
Eti kuotea unajifariji MATAGA pole Sana ndio yanatokea Sasa Kwani si alitabiri mwendakuzimu asipoacha dhuruma atakufa haya Leo Kiko wapi Kwa mchato na jeuri yake ya umungumtu?
Unaweweseka ewe Mgelasi uliezamia Korintho!
mwendakuzimu amekufa,arejee sasa nyumbani
maana amejipa cheo cha kuhukumu watu vifo wakati nayeye anaogopa kufa!!!!